Wananchi hawamjui Saa8 ni mtu tu kama watu wengine. Mtu wa mwisho kumuona akiwa hai ni mbowe. Tuanze na huyo aeleze. Tundulissu ni hivyo hivyo, ndiye aliyemuona wa mwisho mtu aliyempiga risasi. Aseme ni nani na yukoje.Yaani unailaumu Chadema badala ya serikali. Hii ni akili au matope. Nyinyi wananchi mmechukua hatua gani
Kwn nyie waliouliwa kule zenj mliishinikiza ccm ikawarejeshea uhai waliouawa??sasa si unaona maridhiano yamefeli.
But, hivi human life is for sale kweli?, maana hao 600 waliachiwa na pesa walizoporwa ni halali yao na wala siyo hisani
Wafuasi wa Zitto Kabwe mna gubu sanaNAONA WANACHADEMA WANAMTHROW BEN SAANANE UNDER THE BUS!
Naamini kwa dhati kabisa kwa 100% kuwa wewe ni Mpiga Zumari uliyetumwa makusudi kutoka "Dawati la Propaganda" la wale jamaa. Lakini tambua tu kwamba "Hakuna marefu yasiyo na ncha.."Nastaajabu kuona chama cha CHADEMA ambacho kinajinasibu kuja kushika dola kinashindwa kuipa shinikizo ENDELEVU serikali ya CCM ifanye uchunguzi kujua ni kitu gani kilimsibu kada wao Ben Saanane. Hili linastaajabisha kwa sababu Ben Saanane alikuwa ni mwanachama, tena kada nguli wa chama, na si hivyo tu bali masaidizi wa Mwenyekiti.
Ukimya huu wa Chadema unatuma meseji kwa wanachama na wananchi kuwa "Unaweza kutumikia chama, lakiniyakikufika, unabaki peki yako na chama wala hakitakusemea, wala kukupigania".
Haiwezekani chama makini kikaliacha hili jambo hivihivi. Liko wapi shinikizola chama kutaka kuundwa tume kuhusu makada wao walipotezwa na kuuawa mpaka sasa?.
Kuna yule kada wa Chamdema kiongozi wa Kata ya Hananasif, bwana Michael. Iko wapi Zeal ya chama kutaka kujua ni maswahibu gani yamewafika makada wao?.
CHADEMA INAO WAJIBU WA KULISHIKIA BANGO SUALA LA BEN SAANANE. La sivyo kitawezaje kupigania watanzania wote wakati kinashindwa kumpigania kada wake?
Huyo pimbi ni ACT Wazalendo. Wao wanachama wao wengi waliuliwa kwenye uchaguzi wa 2020 na kiongozi wao mwandamizi Jussa kunusurika kifo kwa kipigo cha askari wa CCM akaishia kwenye wheel chair leo hii wako meza moja na CCM wanagongesheana glass.Naamini kwa dhati kabisa kwa 100% kuwa wewe ni Mpiga Zumari uliyetumwa makusudi kutoka "Dawati la Propaganda" la wale jamaa. Lakini tambua tu kwamba "Hakuna marefu yasiyo na ncha.."
You are here for the special mission of doing Black Propaganda, Characters Assassination and Smear Campaign.
Huyo pimbi ni ACT Wazalendo. Wao wanachama wao wengi waliuliwa kwenye uchaguzi wa 2020 na kiongozi wao mwandamizi Jussa kunusurika kifo kwa kipigo cha askari wa CCM akaishia kwenye wheel chair leo hii wako meza moja na CCM wanagongesheana glass.
Na nyie mnashindwa nini kupigania haki ya wale wanachama wenu walioliwa na askari wa CCM wakati wa uchaguzi wa 2020 au wale siyo watu kwa vile ni Wapemba?Sasa kuikumbusha CHADEMA ipiganie haki ya kada wake inahusiana vipi na uchama?
Yaani wewe Mwanachadema haufikiri kuwa una wajibu wa kukikumbusha chama chako kuweka nguvu kuishinikiza serikali ifanye uchunguzi juu ya madhila yaliyomkuta kada mwanachadema mwenzio?
Naona unaleta ligi, uvyama, na siasa katika maisha ya mtu.Na nyie mnashindwa nini kupigania haki ya wale wanachama wenu walioliwa na askari wa CCM wakati wa uchaguzi wa 2020 au wale siyo watu kwa vile ni Wapemba?
Hi Boss! Uzi wako umeukosea kidogo .waliokufa kutokana na wingu la siasa sio saa8 pekee. So Uzi wako ungekua na mantic kama ungehoji kwa nini vyama vya siasa za upinzani Tanzania kwa pamoja visishinikize serikali ifanye uchunguz juu ya kupotea na kuuawa kwa wafuatao , azory, Ben saa 8, nk, maana ni wengi wamepotea ama kuuawa hasa wakati wa utawala wa jpm .ulivyoandika imekaa kinafiki ikizingatiwa wewe ni moja ya wanaoheshimika hapa jukwani.Naona unaleta ligi, uvyama, na siasa katika maisha ya mtu.
Kwa hiyo Chadema ikikumbushwa itafute haki ya Ben Saanane wewe akili yako inakutuma kuwa huko ni kuichokonoa Chadema?
Nyie makada vipi, mbona common sense haiwi common?
Huyu mfuasi wa Zitto Kabwe adui yake ni Chadema tu.Hi Boss! Uzi wako umeukosea kidogo .waliokufa kutokana na wingu la siasa sio saa8 pekee. So Uzi wako ungekua na mantic kama ungehoji kwa nini vyama vya siasa za upinzani Tanzania kwa pamoja visishinikize serikali ifanye uchunguz juu ya kupotea na kuuawa kwa wafuatao , azory, Ben saa 8, nk, maana ni wengi wamepotea ama kuuawa hasa wakati wa utawala wa jpm .ulivyoandika imekaa kinafiki ikizingatiwa wewe ni moja ya wanaoheshimika hapa jukwani.
Nastaajabu kuona chama cha CHADEMA ambacho kinajinasibu kuja kushika dola kinashindwa kuipa shinikizo ENDELEVU serikali ya CCM ifanye uchunguzi kujua ni kitu gani kilimsibu kada wao Ben Saanane. Hili linastaajabisha kwa sababu Ben Saanane alikuwa ni mwanachama, tena kada nguli wa chama, na si hivyo tu bali masaidizi wa Mwenyekiti.
Ukimya huu wa Chadema unatuma meseji kwa wanachama na wananchi kuwa "Unaweza kutumikia chama, lakiniyakikufika, unabaki peki yako na chama wala hakitakusemea, wala kukupigania".
Haiwezekani chama makini kikaliacha hili jambo hivihivi. Liko wapi shinikizola chama kutaka kuundwa tume kuhusu makada wao walipotezwa na kuuawa mpaka sasa?.
Kuna yule kada wa Chamdema kiongozi wa Kata ya Hananasif, bwana Michael. Iko wapi Zeal ya chama kutaka kujua ni maswahibu gani yamewafika makada wao?.
CHADEMA INAO WAJIBU WA KULISHIKIA BANGO SUALA LA BEN SAANANE. La sivyo kitawezaje kupigania watanzania wote wakati kinashindwa kumpigania kada wake?
Yamepewa pesa na samia yanatumbua
Hayana muda na changamoto za wananchi
Kuna tofauti kati ya mtu binafsi kutia shinikizo, na chama kupitia vikao vyake kuja na azimio la kutaka majibu. Kamati kuu ya Chadema haijawahi kutoa maazimio ya kuishinikiza serikali ya CCM ifante uchunguzi na kuja na majibu juu ya masuala hayo.
Nyuma ya kifo cha Ben saa8 wapo chadema ..mbowe...rostam azizi na msoga gang lengo.lao kumchafua mtukufu JPM hivyo kwa kuwa jpm ayupo awawezi kutaka hiyo habari ya uchungu.
Wananchi hawamjui Saa8 ni mtu tu kama watu wengine. Mtu wa mwisho kumuona akiwa hai ni mbowe. Tuanze na huyo aeleze. Tundulissu ni hivyo hivyo, ndiye aliyemuona wa mwisho mtu aliyempiga risasi. Aseme ni nani na yukoje.
Hao ACT Wazalendo ni washirika wa CCMAcha kuwa mnafiki. Yani mtu ashambuliwe kwa risasi nusu ya kufa halafu serikali ikae kimya bila kufanya uchunguzi?. Yani unalaumu chama kisa serikali kupitia vyombo vya Dola havijafanya kazi yake?. Mimi nilidhani ungeilaumu serikali baadala ya CHADEMA.
NAONA WANACHADEMA WANAMTHROW BEN SAANANE UNDER THE BUS!
Sasa kuikumbusha CHADEMA ipiganie haki ya kada wake inahusiana vipi na uchama?
Yaani wewe Mwanachadema haufikiri kuwa una wajibu wa kukikumbusha chama chako kuweka nguvu kuishinikiza serikali ifanye uchunguzi juu ya madhila yaliyomkuta kada mwanachadema mwenzio?