Inakuwaje Dar es Salaam inaoongoza kuingiza mapato ya Nchi unakuwa na barabara mbovu hivi?

Inakuwaje Dar es Salaam inaoongoza kuingiza mapato ya Nchi unakuwa na barabara mbovu hivi?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kati ya Mambo ambayo yatakuja kukiondoa Chama cha Mapinduzi madarakani ni namna ambavyo hawagawi kwa usawa keki ya taifa.

Siku Watanzania wakipata akili na kusema kwa nini hapa kwetu tunachangia hiki na hatupati hiki ndio utakuwa mwisho rasmi wa siasa za kutawala Tanzania kwa Chama cha Mapinduzi.

Nipo Jijini Dar es Salaam. Jiji linaloongoza kwa makusanyo ya kikodi pamoja na kuchangia zaidi katika pato la Taifa.

Kilichonisikitisha ni namna jiji hili lilivyo na barabara mbovu. Yaani ukisema unaenda Mbezi Msumi ni sawa na kusema naenda kuharibu gari yangu.

Ukisema unaenda Kigamboni barabara za mitaani hazifai. Sema uende Bungu sijui Mabwepande napo barabara za mitaani hazifai.

Ukija Mbezi Beach ambapo unasema wanakaa watu wenye uwezo napo barabara za hovyo hadi zinatia huruma. Nenda Tabata, Mbagala, Gongo la Mboto hali ni hiyo hiyo.

Swali nililojiuliza ni kwamba endapo hawa watu wakipata akili za kuhoji kama tunavyoona Gen Z ya Kenya chama changu CCM fungasheni virago haraka sana.
 
Mimi ni mtoto wa kishua, sijui kama dar es salaam Kuna njia mbovu Mimi naishi mbezi beach, kwenye ghorofa la wazazi wangu. Nimepewa gari na baba aina ya land cruiser V8. 😃😃😃😃😃😃😃 Nyie mnaishi dar es salaam sehemu gani.
 
Wewe ni yupi hapa
20240624_170043.jpg
 
Mimi ni mtoto wa kishua, sijui kama dar es salaam Kuna njia mbovu Mimi naishi mbezi beach, kwenye ghorofa la wazazi wangu. Nimepewa gari na baba aina ya land cruiser V8. 😃😃😃😃😃😃😃 Nyie mnaishi dar es salaam sehemu gani.
No wonder nchi haiendelei. Kuwa na mtu mwenye akili kama zako ni mzigo kwa taifa
 
Dar ya sasa ni barabara chache sana ambazo ni imara, nyingi zina mashimo kwa sababu ya mvua....
 
Kati ya Mambo ambayo yatakuja kukiondoa Chama cha Mapinduzi madarakani ni namna ambavyo hawagawi kwa usawa keki ya taifa.

Siku Watanzania wakipata akili na kusema kwa nini hapa kwetu tunachangia hiki na hatupati hiki ndio utakuwa mwisho rasmi wa siasa za kutawala Tanzania kwa Chama cha Mapinduzi.

Nipo Jijini Dar es Salaam. Jiji linaloongoza kwa makusanyo ya kikodi pamoja na kuchangia zaidi katika pato la Taifa.

Kilichonisikitisha ni namna jiji hili lilivyo na barabara mbovu. Yaani ukisema unaenda Mbezi Msumi ni sawa na kusema naenda kuharibu gari yangu.

Ukisema unaenda Kigamboni barabara za mitaani hazifai. Sema uende Bungu sijui Mabwepande napo barabara za mitaani hazifai.

Ukija Mbezi Beach ambapo unasema wanakaa watu wenye uwezo napo barabara za hovyo hadi zinatia huruma. Nenda Tabata, Mbagala, Gongo la Mboto hali ni hiyo hiyo.

Swali nililojiuliza ni kwamba endapo hawa watu wakipata akili za kuhoji kama tunavyoona Gen Z ya Kenya chama changu CCM fungasheni virago haraka sana.
Kwa sababu Tzn sio Dar pekee
 
Sisi wakulima wa vijijini tunaoongoza kwa kuliingizia taifa fedha za kigeni kwa ku-export mazao yetu mbona hatujilizi kama nyie wanaume wa Dar, wakati hata barabara hatuna? Sisi tuna vinjia tu vya kuendea mashambani, na humo tunapishana na fisi, nyani, nguruwe, nk na hatupigi kelele wala kulialia kila siku!
Kweli nyie ni wanaume wa Dar, kazi kulialia tu kama wanawake.
Btw, imarisheni halmashauri zenu za majiji na wilaya, na mlipe kodi, ili ziwajengee hizo barabara. Barabara ya mtaa nayo mnataka mjengewe na serikali kuu?
 
Sisi wakulima wa vijijini tunaoongoza kwa kuliingizia taifa fedha za kigeni kwa ku-export mazao yetu mbona hatujilizi kama nyie wanaume wa Dar, wakati hata barabara hatuna? Sisi tuna vinjia tu vya kuendea mashambani, na humo tunapishana na fisi, nyani, nguruwe, nk na hatupigi kelele wala kulialia kila siku!
Kweli nyie ni wanaume wa Dar, kazi kulialia tu kama wanawake.
Btw, imarisheni halmashauri zenu za majiji na wilaya, na mlipe kodi, ili ziwajengee hizo barabara. Barabara ya mtaa nayo mnataka mjengewe na serikali kuu?
Pato gani la mkulima linalizidi pato la Jiji la Dar es Salaam?

Nipe takwimu ya miaka hata 5 mfululizo mkoa unaaoongoza kwa kuliingizia taifa mapato makubwa uone kama kuna mkoa umeizidi Dar es Salaam?

Then ndo utaelewa hoja yangu hapa!
 
Pato gani la mkulima linalizidi pato la Jiji la Dar es Salaam?

Nipe takwimu ya miaka hata 5 mfululizo mkoa unaaoongoza kwa kuliingizia taifa mapato makubwa uone kama kuna mkoa umeizidi Dar es Salaam?

Then ndo utaelewa hoja yangu hapa!
Msamehe tu huyo mkulima hajui asemalo maana kachanganyikiwa mazao hayana bei
 
Back
Top Bottom