Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
- #21
Jf ina vichwa na vilaza wengi sana. Wanasikitisha sanaMsamehe tu huyo mkulima hajui asemalo maana kachanganyikiwa mazao hayana bei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf ina vichwa na vilaza wengi sana. Wanasikitisha sanaMsamehe tu huyo mkulima hajui asemalo maana kachanganyikiwa mazao hayana bei
Kijana apelekwe Gym pale Paris Ufarasa naona kitambi kimechomozaWewe ni yupi hapaView attachment 3028556
Kwa nini tunashindwa kutengeneza barabara imara?
Sasa tulifanyie kazi hilo liondoke.Kwa sababu hatuna viongozi bali tuna watawala...
Inasikitisha. Ni kama Dar wameisahau.Masaki ndio aibu kabisa mpk unajiuliza huku sindio wanakaa mabaloz,matajir na viongoz haya mashimo hawayaon au Yan full mashimo na viraka
Pato gani la mkulima linalizidi pato la Jiji la Dar es Salaam?
Nipe takwimu ya miaka hata 5 mfululizo mkoa unaaoongoza kwa kuliingizia taifa mapato makubwa uone kama kuna mkoa umeizidi Dar es Salaam?
Then ndo utaelewa hoja yangu hapa!
Kwanza exports ndo zinazoongoza kwenye makusanyo yaliyopo TRA?View attachment 3029283
Ebu niambie, kati ya hivyo 👆 Dar mnalima na kuexport nini?
Sema Keybord WorriourKati ya Mambo ambayo yatakuja kukiondoa Chama cha Mapinduzi madarakani ni namna ambavyo hawagawi kwa usawa keki ya taifa.
Siku Watanzania wakipata akili na kusema kwa nini hapa kwetu tunachangia hiki na hatupati hiki ndio utakuwa mwisho rasmi wa siasa za kutawala Tanzania kwa Chama cha Mapinduzi.
Nipo Jijini Dar es Salaam. Jiji linaloongoza kwa makusanyo ya kikodi pamoja na kuchangia zaidi katika pato la Taifa.
Kilichonisikitisha ni namna jiji hili lilivyo na barabara mbovu. Yaani ukisema unaenda Mbezi Msumi ni sawa na kusema naenda kuharibu gari yangu.
Ukisema unaenda Kigamboni barabara za mitaani hazifai. Sema uende Bungu sijui Mabwepande napo barabara za mitaani hazifai.
Ukija Mbezi Beach ambapo unasema wanakaa watu wenye uwezo napo barabara za hovyo hadi zinatia huruma. Nenda Tabata, Mbagala, Gongo la Mboto hali ni hiyo hiyo.
Swali nililojiuliza ni kwamba endapo hawa watu wakipata akili za kuhoji kama tunavyoona Gen Z ya Kenya chama changu CCM fungasheni virago haraka sana.
Kama hayo makusanyo ya madafu yenu mnaweza kuyatumia kununua mitambo ya kujengea barabara, then go ahead.Kwanza exports ndo zinazoongoza kwenye makusanyo yaliyopo TRA?
Uliza izo exports zimeingiza shs ngapi kwenye mfuko wa hazina alafu compare na makusanyo ya Jiji la Dar kwa mwaka wa fedha mmoja tu alafu rudi hapa
Wewe umefika mbezi njia ya makabe- Msumi na Tegeta A?Mtoa mada nadhani hujafika Kimara!
Kwanza exports ndo zinazoongoza kwenye makusanyo yaliyopo TRA?
Uliza izo exports zimeingiza shs ngapi kwenye mfuko wa hazina alafu compare na makusanyo ya Jiji la Dar kwa mwaka wa fedha mmoja tu alafu rudi hapa
View: https://youtu.be/pfunGatK8CM?feature=shared
Haya ndiyo mambo sisi wakulima tunaifanyia nchi wakati hata huduma zetu za kijamii ni za kubangaiza. Nyie mabishoo wa Dar kazi yenu ni kulalamika tu wakati mna barabara mpaka za ghorofa, na sisi tuna vinjia tu!