Inakuwaje haya majina ya kiswahili kwa Wanigeria?

Tekno hajawahi kuwa na wimbo unaitwa PANYA, bali unaitwa PANA..

Bracket ndiyo wana wimbo unaitwa PANYA..
wameimba huo wimbo wakimshirikisha Tekno.
Umetoa mchango wako as if Tekno kwenye hiyo collab hayupo.
 
Acha wakitangaze Kiswahili hata kama ni matapeli wa kunuka.
 
hawachomekei maneno ya kiswahili ...
Wanaimba kilugha chao...Flavour Ni Igbo...also Tekno...
Ila nnekata nu Didi bonge ya songi humo ndani kwenye video Kuna zigo la haja ..kakionjo...
Nnekata UN didi ooooooh, baby mo idi hot tu So different ti oh, baby oh I pu la iche oh Anyawu ututu, nwa chukwu kelu ubosi uka confidence si oh, baby mo my love oh
 
izo ni sirabu tu tofautisha sirabu na sirabi
 
hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…