Inakuwaje kesi ya kubaka Mtoto mtu afungwe miaka 4???

Inakuwaje kesi ya kubaka Mtoto mtu afungwe miaka 4???

kluger

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,093
Reaction score
1,899
Wataalamu wa sheria,

Hv majuzi nilisoma gazeti la mwananchi huko mkoani Tabora kuna Baba amembaka binti yake wa miaka 16 zaidi ya mara moja na kumpa ujaauzito, kumkatisha masomo ya sekondari, habari hii ilinisikitisha sana chakushangaza sasa hukumu aliyopewa na kufungwa miaka minne 4. Kwa Kweli imenishangaza sana haya mambo ya sheria.

Nimebaki na maswali mengi, nafahamu kubaka tu ni kifungo zaidi ya miaka 30, sasa hii ya kubaka Mtoto wake kumpa ujauzito bado mtu anahukumiwa miaka minne?

Hili limekaaje??
 
Wataalamu wa sheria,

Hv majuzi nilisoma gazeti la mwananchi huko mkoani Tabora kuna Baba amembaka binti yake wa miaka 16 zaidi ya mara moja na kumpa ujaauzito, kumkatisha masomo ya sekondari, habari hii ilinisikitisha sana chakushangaza sasa hukumu aliyopewa na kufungwa miaka minne 4. Kwa Kweli imenishangaza sana haya mambo ya sheria.

Nimebaki na maswali mengi, nafahamu kubaka tu ni kifungo zaidi ya miaka 30, sasa hii ya kubaka Mtoto wake kumpa ujauzito bado mtu anahukumiwa miaka minne?

Hili limekaaje??
Tatizo linakuja kweny ushahid ...unakuta ushahd huko weakness sana...
 
Tatizo linakuja kweny ushahid ...unakuta ushahd huko weakness sana...

Wamesema ushahidi ulioletwa pasi na shaka unamtia hatiani mtuhumiwa na wamejiridhisha na ushahidi ulioletwa mahakamani
 
Wekeni hilo gazeti tulisome pamoja
Oyaaa JF sio genge la kahawa kila hoja inajibiwa kwa hoja[emoji1321]
 
Wamesema ushahidi ulioletwa pasi na shaka unamtia hatiani mtuhumiwa na wamejiridhisha na ushahidi ulioletwa mahakamani
Hakimu kusema ivyo aimaanishi nikweli ushahid umekamilika vizuri
 
Wasubiri tu mtoto azaliwe kisha apimwe DNA TEST,itajulkana tu kama ni mtoto wa huyo mtuhumiwa basi kesi ianze upya!
 
Kwakuwa mtoto aliyembaka si wako usitake kumpangia hakimu siku za kumfunga!
 
Tatizo mnanza siasa hum jf kwani sheria si IPO?? weka clause za kisheria hilo gazeti liko wapi hapa na as tulione ili tuwe na ushahidi, eti Mara ushahidi ulikuwa wikness , halafu MTU atiwe hatiani kwa wikness acheni swaga kwenye sheria ...orbiter dictum#
 
Wataalamu wa sheria,

Hv majuzi nilisoma gazeti la mwananchi huko mkoani Tabora kuna Baba amembaka binti yake wa miaka 16 zaidi ya mara moja na kumpa ujaauzito, kumkatisha masomo ya sekondari, habari hii ilinisikitisha sana chakushangaza sasa hukumu aliyopewa na kufungwa miaka minne 4. Kwa Kweli imenishangaza sana haya mambo ya sheria.

Nimebaki na maswali mengi, nafahamu kubaka tu ni kifungo zaidi ya miaka 30, sasa hii ya kubaka Mtoto wake kumpa ujauzito bado mtu anahukumiwa miaka minne?

Hili limekaaje??
hilo jambo sio la kweli, na kama ni la kweli basi sio muda rufaa itakuwa imeshafika mahakama kuu kuweka hukumu sawa, kama ushahidi unatosha. minimum sentence ya rape ni 30, ila mtu anawezapigwa hata life. hapo wangeamua wangempiga hata incest by males, akapigwa 30, ilikuwa uchaguzi tu wampige na charge ipi. mahakama itakuwa ilijielekeza vibaya sana kama imempa rapist 4 years. au magazeti yaanaweza kuwa yamepotosha.
 
Back
Top Bottom