Inakuwaje kuhusu transfer za TCU

sms had j3

sasa j3 hiyo wengne tlipo pangiwa ndo cku ya mwisho ya registration "" sasa hapo cjui itakuwaje """"" kama mtu ushafnya usajil unaweza bado ukahama kama jna lako lipo kwny list ya TCU ya wanao hama????
 
hata km umshasajliwa utahama kwa kufuata taratib ikiwemo kuandka barua ya kuwhdhdraw ambayo nakala 1 utaenda nayo na nyingne itabak chuon hapo, na mara moja chuo hcho ktakfutia uxajil huo
 
Yaa tulienda hyo j moc tena tukikuepo wanafunz co weng altoka mfanya kaz m1 akasema naenda huku Mara moja then nkrud ntawahudumia,bdae kdogo akaja mlnz akiwa amepewa salam aje atuambie kwamba wale wa transfer majna wataachia j5 na kama tu nataka maekezo zaid twende kesho I mean j3
 

Ebu fatilia mkuu kwasababu vyuo karbu vyote mwisho n tarehe 15, na zaidi ya hapo ndo hivyo unaona wanapiga biti hawatapokea mtu, au hawatamtambua katika sajili zao,kunamdau hapa anaxema j3, txt zitatumwa ila n vizur zaidi tukawa na uhakika 100% ya kipo kinaendelea japokuwa sijajua taarifa yake ametolea wap!
 
kidogo maelezo yanatia moyo..thumb up mkuu..!

Broo, asikudanganye mtu, hiyo issue ya kuhamisha mkopo kwenda chuo kingine sio ya wiki moja wala mwezi, hii kitu ilishawa-cost weng saana, hapo hope ya wewe kuja kupata mkopo wako kwenye chuo ulichohamia inachukua hata mwaka mzima, nina washikaji zangu 3 waliupata mkopo huo walipoingia mwaka wa 2, ila uzur ni kwamba huwa wanatoa yote kabisa toka first year, kama unabisha wenye data watani-support!
 
Ni kwl brother angu alikua mwaka mzima ndo kutumiwa mkopo kwny chuo alichohamia.
 
Jamani kuna updates zozote kama kuna watu wamepata ujumbe wa kuwa wako Transfered
 
dah mungu yupo nac manake hii nchi cjui hata yaelekea wap
 
Message kutoka chuo cha awali, inasema dogo wahi chuo haraka xana wakatoa na ankara yao pamoja na mobile number, inamaana tcu ipo kimya xana alafu kama kunaubabe kati yao (tcu na vyuo vikuu) kwasababu deadline za chuo zpo karbu xana alafu kama wamechafukwa moyo vile kwasababu hizo biti wanazopiga ni full vurugu mechi, ebu mwenye idea axeme kuhusu wanaochelewaga chuo?
 

Pia mbona kama hamna mawasiliano mazuri kati ya tcu&heslb hivi hao zaidi ya mia2 waliotransfer especially med relatd programmes na wao mwaka huu wataungua jua la kukosa mkopo? maana mikopo yao imepelekwa ktk vyuo vya awali so utaratibu wa kuhamisha mikopo maana yake fungu jipya linatakiwa tena heslb imagine mtu kalipiwa fee mil 1 chuo cha awali bt anakohamia initial loan amount ya kozi kama MD mil 2.6 hv tutafika kweli...?
 
Hali zenu wadau msaada tafadhali nahitaji kujua kuhusu transfer za TCU zinatoka lini naona kimya na vyuo ndio hivyo vishafunguliwa
 
Kwa kwel ni shidah maana chuo nilipochaguliwa dedlin tar 15 alaf tcu hawatoi jibu lolote,si kuna hatari ya kukosa kote hapa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…