danmarc
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 567
- 115
Hali zenu wadau msaada tafadhali nahitaji kujua kuhusu transfer za TCU zinatoka lini naona kimya na vyuo ndio hivyo vishafunguliwa
tuendelee kusubr mkuu maana hawa tcu washatugeuza mazoba hata simu zetu hawataki kupokea sa hv