Inakuwaje lakini mabinti kudanganyika wasijifunze kwa wengine?

Inakuwaje lakini mabinti kudanganyika wasijifunze kwa wengine?

tripojo

Member
Joined
Jan 4, 2008
Posts
61
Reaction score
7
Kuna hili swali linanisumbua sana kichwani mwangu:

Hivi inakuwaje msichana anaweza kutoka kuongea na shoga yake kuhusu habari za msichana mwenzao ambaye amepewa ujauzito na lijamaa tu la mtaani ambalo halina mbele wala nyuma kimaisha, na yeye baada ya mazungumzo hayo akaenda kufanya vivyo hivyo. Unaweza kukuta ni mwanafunzi wa shule, akaenda kufanya ngono na kuambulia ujauzito na kijana wa mtaani ambaye hana nia wala uwezo wa kumuoa? Inakuwaje mambo haya jamani, kwa nini asijifunze?
 
Watu hua wanaangalia matatizo/mambo yao tofauti na wanavyoyaangalia ya wengine.Kuna ila hali ya kufikiria mimi haiwezi nitokea..mimi siwezi kua mjinga kama fulani..siwezi kudanganywa kama wewe.Ndo maana unasikia fulani kaachwa na mwenzie kwasababu alicheat na bado wapo wanaojua hilo watakaotaka na kukubali kua nae.Somo zuri na linaloingia sawasawa ni lile analopitia mtu na sio anayoona kwa wengine.Before you experience something you'll never believe it could happen to you ...
 
Kuna hili swali linanisumbua sana kichwani mwangu:

Hivi inakuwaje msichana anaweza kutoka kuongea na shoga yake kuhusu habari za msichana mwenzao ambaye amepewa ujauzito na lijamaa tu la mtaani ambalo halina mbele wala nyuma kimaisha, na yeye baada ya mazungumzo hayo akaenda kufanya vivyo hivyo. Unaweza kukuta ni mwanafunzi wa shule, akaenda kufanya ngono na kuambulia ujauzito na kijana wa mtaani ambaye hana nia wala uwezo wa kumuoa? Inakuwaje mambo haya jamani, kwa nini asijifunze?
1.umetumia vigezo gani kumtofautisha lijamaa tu la mtaani ambalo halina mbele wala nyuma kimaisha na watu wengine hapo mtaani?
2.''Kijana wa mtaani ambaye hana nia wala uwezo wa kumuoa''-wewe umejuaje?who are you to judge other people?
3.Hayo ni maisha na maafikiano baina ya watu wawili....
NB:Si ni watu wazima?wamefikisha 18yrs wanajua zuri na baya.Hapo sioni kwanini linakusumbua sana kichwani kwako...''Vua gamba''
 
1.umetumia vigezo gani kumtofautisha lijamaa tu la mtaani ambalo halina mbele wala nyuma kimaisha na watu wengine hapo mtaani?
2.''Kijana wa mtaani ambaye hana nia wala uwezo wa kumuoa''-wewe umejuaje?who are you to judge other people?
Hajaweka mada yake vizuri ila point yake ni kwamba kwanini mtu anakua anajua kabisa athari za kitu fulani kwa kuona kwa wengine na bado anafuata njïa ile ile?
 
Huwa hadi yatukute ndio tupate fundisho...
Binadamu watu wa ajabu sana. Tungekuwa tunajifunza kwa waliotangulia nafikiri matatizo tuliyonayo yasingekuwa makubwa kiasi hiki. Halafu kuna kusahau, yanaweza kukuta, ukajutia na kuapa hurudii ila baadae ukafanya kitu kilekile.
 
nadhani katika huko kuhadithoana ndiko hamasa ya kujaribu inapotoka then bila kutambua consequence of erection mimba hutukia....nadhani ingekuwa sahihi pia ungewalaumu hao wakaka.....coz wananafasi kubwa ya kuzuia hii kitu
 
Memory capacity ya goldfish ni dakika tatu....

Ndo maana hata wakikuona unawavua after dakika tatu wanasahau....

Binadamu at the end of the day ni viumbe kama wengine....

Mwanamke asie danganyika sio mwanamke....atakuwa ni mwanaume...

Wanawake wameumbwa hivyo....
 
halafu watu wasio na kazi wanakuwaga wataalamu mno kwa kutongoza...

kwa sababu wana time ya kumfuatilia binti kwa mda mrefu...
si hawanakazi....
 
Well said Lizzy/Husninyo
Ingekuwa binadamu anajifunza kusingekuwepo na
makosa/ dhambi
 
kwani we ni mwanaume...?

wanaume tunadanganyika kwa makusudi...
tunaamua kudanganyika....

Just curious!

Mmmh kumbe na nyie mnadanganyika?Basi mimi sio mwanaume wala mwanamke!
 
Just curious!

Mmmh kumbe na nyie mnadanganyika?Basi mimi sio mwanaume wala mwanamke!

wanawake wanadanganyika
wanaume tuanaamua kudanganyika...

so wewe ni bi sio?
 
Back
Top Bottom