Sheria hii ni moja ya sheria mbovu sana kutungwa na watu wenye akili timamu, imetungwa kuwakomoa watu badala ya kutenda haki. Mtu sasa hivi akitaka kukuficha tu anakufungulia kesi ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi, can you imagine eti mtu anahujumu uchumi kwa shillingi milioni 17 !! Ujinga ulioje?