MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #101
Wapo wanaofanikiwa kuwafanya watu wengine kuwapenda, kwa hili kama umependa haifai kukata tamaa.
KAtavi ni kweli kabisa kuwa wapo wanaofanikiwa kuwarudisha waliotoka kwenye mstari wa mapenzi lakini ukichunguza sana utakuta kuwa kuna mawili
1. Aliyetoka (akarejeshwa) alikuwa na kajichembe ka penzi kwa huyu wa awali. Yaani pamoja na kutoka na kuwa na mwingine but naye alikuwa bado anampenda mwenzie basi tu alitaka kuonja ladha tofauti,
2. Inawezekana huko alikokwenda hapakuwa kiviiiile so anaona bora arudi kwa zimwi limjualo.......BUT wa aina hii mara nyingi kurudi kwao huwa ni kwa muda. Kwa kuwa hajapenda kiukweli basi atatuliza mzuka kidogo huku akiyatafuta makazi mengine .......so huyu anayehangaika kumrudisha mwenzie mstarini atakuwa anaumia tu.