The choosen one1
Member
- Dec 13, 2023
- 67
- 238
Hii imenitokea mara kadhaa.
Inakatisha sana tamaa, unakuta mdada mrembo tu mwanzo ulikuwa humjali sana.
Mara anaanza mazoea , ukimpa tu attention anaondoka inakuwa kama zamani tena.
Unaweza dhani labda umeokota dodo, unasema ngoja uifanyie kazi hii green light mara inakuwa ngumu kuliko ulivyotarajia.
Hii inasabbishwa na nini wakuu
Inakatisha sana tamaa, unakuta mdada mrembo tu mwanzo ulikuwa humjali sana.
Mara anaanza mazoea , ukimpa tu attention anaondoka inakuwa kama zamani tena.
Unaweza dhani labda umeokota dodo, unasema ngoja uifanyie kazi hii green light mara inakuwa ngumu kuliko ulivyotarajia.
Hii inasabbishwa na nini wakuu