Inakuwaje mfanyabiashara kuondoa Blue tick(kusoma message kimyakimya)

Dalili ya utapeli.

Ni bora utapeliwe live(physically) kuliko kutapeliwa online
 
Ila wafanyabiashara bana ukiwakuta tik tok,instagram , Twitter hata JF humu wanakwambia njoo watsup nina group ukienda njoo inbox ukienda piga au nitumie sms ya kawaida kwa majibu ya haraka zaidi ukituma analalamika mpo wengi hivyo hawezi jibu haraka
Hawanipati πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…