Inakuwaje milipuko ya ardhi ( volcano ) hutokea milimani?

Inakuwaje milipuko ya ardhi ( volcano ) hutokea milimani?

Jacobus

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
4,703
Reaction score
1,724
Wakuu, naomba tukumbushane ni sababu zipi zinazopelekea milipuko mingi kutokea milimani?
 
Mara nyingi volkano [emoji291] inalipuka milimani kwa sababu nying kama ifuatavyo
1: milimani kuna weakness ya compaction ya ardhi, hii ni kutokana na kwamba milima hiyo ni matikeo ya mkunjamano wa sahani za uso wa dunia zinazosababisha urahisi wa volkano kupenua.

2: milima mingi ambayo [emoji291] hutokea iliundwa kwa aina hiyo hiyo pia so ni sawa tu na kwamba volkano inapasha kiporo.

Nawasilisha......
 
Mara nyingi volkano [emoji291] inalipuka milimani kwa sababu nying kama ifuatavyo
1: milimani kuna weakness ya compaction ya ardhi, hii ni kutokana na kwamba milima hiyo ni matikeo ya mkunjamano wa sahani za uso wa dunia zinazosababisha urahisi wa volkano kupenua.

2: milima mingi ambayo [emoji291] hutokea iliundwa kwa aina hiyo hiyo pia so ni sawa tu na kwamba volkano inapasha kiporo.

Nawasilisha......
Safi sana mkuu japo kiduchu, umefanya nikunjue akili yangu kwa kuusoma huu uzi.
 
Wakuu, naomba tukumbushane ni sababu zipi zinazopelekea milipuko mingi kutokea milimani?
Volcano inatokea popote sema unaona mlima Sababu volcano inajirundika na ku form mlima. Mfano leo ikitokea volcano kilimanjaro utasema imetokea kwenye mlima, ila unasahahu zamani kulikuwa hamna mlima pale Bali volcano ndio imeutengeneza ule mlima. Kabla ya mlima kilimanjaro ku form hio miaka milioni 1 iliopita palikuwa ni bonde la Ufa.

Hata baharini volcano ikitokea kuna form mlima ndani ya bahari, na mlima ukiwa mkubwa sana na kutokea juu ya bahari kinakua kisiwa.

_105544948_obliquehighaltfromnetowovertombolodji0022ds-1024x768.png


Mfano hicho hapo juu ni kisiwa kipya kimeform 2014 huko Tonga baada ya volcano.

Hivyo mkuu volcano ndio ina tengeneza mlima, unaganda, baada ya muda binadamu wanaishi pale siku ikitokea tena (Sababu ni njia yake) ndio unaona inamwagika toka mlimani.
 
Volcano inatokea popote sema unaona mlima Sababu volcano inajirundika na ku form mlima. Mfano leo ikitokea volcano kilimanjaro utasema imetokea kwenye mlima, ila unasahahu zamani kulikuwa hamna mlima pale Bali volcano ndio imeutengeneza ule mlima. Kabla ya mlima kilimanjaro ku form hio miaka milioni 1 iliopita palikuwa ni bonde la Ufa.

Hata baharini volcano ikitokea kuna form mlima ndani ya bahari, na mlima ukiwa mkubwa sana na kutokea juu ya bahari kinakua kisiwa.

_105544948_obliquehighaltfromnetowovertombolodji0022ds-1024x768.png


Mfano hicho hapo juu ni kisiwa kipya kimeform 2014 huko Tonga baada ya volcano.

Hivyo mkuu volcano ndio ina tengeneza mlima, unaganda, baada ya muda binadamu wanaishi pale siku ikitokea tena (Sababu ni njia yake) ndio unaona inamwagika toka mlimani.
Shukran mkuu kwa elimu hii.
 
Mara nyingi unakuta hiyo milima imetokea sababu ya volcano so hilo ni eneo lenye volacano. Miaka baadaye inalipuka tena hapo unaona mlima ndiyo umesabaisha volcano kumbe ni volcano iliyosababisha mlima.
 
Back
Top Bottom