MR LINKO
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,034
- 3,526
Habari zenu wakuu
Kuna jambo moja huwa, nashangaa sana. Kama sio kutaamaki.
Hii imetokea mara kibao tu na jambo la kunishangaza ni kwa wanaumee.
Unakutaa umekaa fresh mnapiga story mbili tatu mara unasikia praaaaaaaaaaa "nini" jamaa kaa jamba kwa nguvu halafu ana zugaa kama sio yeye.
Kama hana habarii.
Kuna siku nimekaa na jamaa mmoja tuna piga story mbili tatu mara nashangaa praaaaaa nika kaushaaa mara ya pili tena mara ya 3 nika muuliza, mjomba ina maana hutuoni mzee au makusudi.
Mara ya mwisho tena, nikaona huu ujingaa nika sepa.
Na anazugaa kama hajafanya chochote.
Ni kamq mara ya 3 tokea niko huku dar.
Swali ina maana huwezi kujizuia au??
Hata kama ni starehe kwanguvu halafu kila mara. Hapana bwana nina shaka na wewe
Wawili tu bado una praaaaaaaaaa pyuuuuuuuu siiíiiíiíiiii.
WANAO TETEA NINA WASI WASI NAO
Kuna jambo moja huwa, nashangaa sana. Kama sio kutaamaki.
Hii imetokea mara kibao tu na jambo la kunishangaza ni kwa wanaumee.
Unakutaa umekaa fresh mnapiga story mbili tatu mara unasikia praaaaaaaaaaa "nini" jamaa kaa jamba kwa nguvu halafu ana zugaa kama sio yeye.
Kama hana habarii.
Kuna siku nimekaa na jamaa mmoja tuna piga story mbili tatu mara nashangaa praaaaaa nika kaushaaa mara ya pili tena mara ya 3 nika muuliza, mjomba ina maana hutuoni mzee au makusudi.
Mara ya mwisho tena, nikaona huu ujingaa nika sepa.
Na anazugaa kama hajafanya chochote.
Ni kamq mara ya 3 tokea niko huku dar.
Swali ina maana huwezi kujizuia au??
Hata kama ni starehe kwanguvu halafu kila mara. Hapana bwana nina shaka na wewe
Wawili tu bado una praaaaaaaaaa pyuuuuuuuu siiíiiíiíiiii.
WANAO TETEA NINA WASI WASI NAO