Inakuwaje nikimfikiria mtu ambaye sijamuona muda mrefu, nikija kumuulizia kwa watu ninaambiwa kafariki

Hata Mimi nikimkumbuka sana mtu ambaye tulionana kitambo nikimuumizia naambiwa amefariki. Kuna wengine nikikutana tu na mtu anayefanana nae nikiulizia naambiwa amefariki
 
Hata Mimi nikimkumbuka sana mtu ambaye tulionana kitambo nikimuumizia naambiwa amefariki. Kuna wengine nikikutana tu na mtu anayefanana nae nikiulizia naambiwa amefariki
ni nini hii?? ina maana gani?? hakuna kitu kinaniumiza kama kujua mtu ninayemfaham kwa namna yoyote ile amefariki napata gagaziko
 
ni nini hii?? ina maana gani?? hakuna kitu kinaniumiza kama kujua mtu ninayemfaham kwa namna yoyote ile amefariki napata gagaziko
Mm pia sielewi kabisa yaani Kuna siku nikikutana na mtu anafanana sana na rafiki yangu ikabidi niulizie watu hivi mtu fulan yupo kwel nikaambiwa amefariki atazikwa siku flan niliumia sana yan
 
Mm pia sielewi kabisa yaani Kuna siku nikikutana na mtu anafanana sana na rafiki yangu ikabidi niulizie watu hivi mtu fulan yupo kwel nikaambiwa amefariki atazikwa siku flan niliumia sana yan
aisee ngoja tuendelee kunywa supu nyama tutazikuta chini tuendelee kusubiria
 
Dah nina mada yake ngoja niitafute nikiikosa nitarudi na maelezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…