nyongeza tu "kwako boy"
Kuna watu wanatoa pini kali sana, sema nyie kwakuwa wasafi pekee ndiyo mnadhani ni wanamziki pekee hapa bongo, ndiyo mkisikia Ommy kawazidi akina wcb mnaanza kulowa.
Kama hii timua vumbi aseeh 😂😂😂Tetema ni nyimbo mbovu sana, rayvanny anapaishwa na mond Tu sa hv, Ila now day anatoa vituko, nyimbo kama natafuta kiki, mbeleko ni bonge za pini lakn Tangu aanze kuimba utumbo kama pochi Nene, Nyegezi, Timua vumbi, na hyo tetema ni uozo mtupu
Ni halali Kwa Ommy Dimpoz kumpita,
Kama ishu ni maadili ya nyimbo bhasi Mrisho mpoto angefaa... Ommy anaimba mapenzi kama wengine tu mara sijui Wanjeraa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na takataka zinazofanana na hizo.. ommy wcb kidogo naweza muweka level sawa na Queen darlin kwa sasa...
Ahaa wap.Nyimbo kama kwangwaru nasema Ommy hawezi toa ngoma kali hata robo ya Kwangwaru[emoji23][emoji23][emoji23] mnataka nawaidha kasikilizeni Kaswida..mziki raha yake akili iinjeoy na mwili mpaka unatikisa kichwa
You nailed it, ndo hapa watu wengi hawaelewiNamwambia Harmonize kila siku...mjini hapa PESA TU..kipaji chako peleka kwa wazazi wako
Haya sasa kaanza uona utamu wa kuingiza nyimbo kwenye ma award ulivyo mgumu..Kule nyimbo inaingia kama una Connection na mtonyo utoe.
Ommy pesa IPO so muacheni ana haki ya kudumbukiza ngoma mbili na pia connection za OMMY harmonize na vanny boy watasubiri sana hawamkuti ommy...
Huu mziki wa sasa hivi msichoelewa ni kwamba Wanatawala wenye pesa tuu..kama hauna pesa bhas hakikisha unaimba hadi watu wakiskia sauti yako wanalia tuuu kama ilivyokua kwa michael Jackson...inatakiwa kama unasimama ktk kipaji chako hakikisha ile unafungua mdomo kuanza kuimba NYUMA TAYARI UMEKUSANYA KIJIJI hapo award utazipata.
Tofauti na hapo mziki wa sasa ni ubabe kwa sana..ma bavu kwa kwenda mbele Ukiiweza hiyo vita INGIA IMBA.
Kumbe huangalii maudhui...haya endelea kulialia na kusikiliza hizo tetema za wasanii wako huko kwenye vigodoro uswahilini ndanindaniUkitaka maudhui kasikilize Tenzi au kaswida[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089] Na zilipendwa kidogo
Unataka kusema na Afrimma walitumia mfumo kama ule wa EA Radio/TV?,kama ni hivo Diamond alishindwa nin kuwafanyiwa wasanii wake hvo ikiwa yeye kaingia category sita?Unajua vigezo walivyotumia? Unakumbuka East Africa Radio/TV walishawahi kuaandaa TUNZO vigezo ilikuwa Msanii ndio una_apply uwekwe categoty gani,Kwahiyo weka vigezo walivyotumia Afrimma kupata hao wasanii kisha ndio tuanze kunyamvua na kunyumbulisha.
Diamond International level yulee... Tetema mpaka Marekani imetikisikaa...kila sehemu tetema[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119] sasa wewe baki na Wanjeraaa ..Kumbe huangalii maudhui...haya endelea kulialia na kusikiliza hizo tetema za wasanii wako huko kwenye vigodoro uswahilini ndanindani
Hamna kitu pale..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ahaa wap.
Wimbo wenyew Tu wa you're the best uko poa Sana kuzidi hao watu wenye popularity wasafi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa si suala la ubora tu...sawa kabisa uko sahihi
sasa imagine queen darlin nyimbo zake zinaingia afrimma
acha mahaba
Kumbe nilikuwa nabishana na mtu wa dizaini hii lol!Hivi unaanzaje kufananisha You are the Best ya Dimpoz na Kainama ya Harmonize?
Na unaanzaje kufananisha Rockstar ya Dimpoz na Tetema ya Rayvanny?
Ngoma za Dimpoz zimeenda shule ukilinganisha na hizo zingine zilizopaishwa kwa mihemko.
Hivi muziki gani wa Ommy dimpoz unaweza kusikilizwa dunia ingine?Ongeza sautiiii aseee.... Eti Kanyaga ukimuuliza Kuna ujumbe gani hatokujibu, Inama sijui pochi Nene .... Hiyo ni miziki ya kubanjuka tu huwezi kuisikiliza dunia ingine...
Marekani na kwenyewe kuna vigodoro??labda marekani ya buza ndanindani huko mkuu ndo itakuwa imetikisaDiamond International level yulee... Tetema mpaka Marekani imetikisikaa...kila sehemu tetema[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119] sasa wewe baki na Wanjeraaa ..
rayvan ni msanii au msindikizaji?Hey Guys,,,
I hope mko poa
Nimeziangalia Tuzo za Afrimma na category zake zimenishangaza sana,
Kitu kilicho nishangaza ni kuona Omary Nyembo akiingia kwenye category tatu huku Harmonize na Rayvany wakiambulia category moja ambayo pia Ommy Dimpoz yumo pamoja na Alikiba na Diamond (Best male E`Africa).
Kinacho nishangaza ni kuona Harmonize na Rayvany wakifanya vzr kuliko Ommy Dimpoz ila kwenye tuzo kawapita kwa kuingiza ngoma karibia mbili.
Hivi Kati ya Tetema by Rayvany ft Diamond na Rock star by Ommy Dimpoz ft Alikiba ni ngoma ipi ilistahili kuingizwa kwenye category ya best collaboration of the year? Eti maajabu ni Rock star ndo ime ingia!! Kweli?
Au ndo ukiwa chini ya mtu huwezi kuonekana kama wahenga wasemavyo?
Je,Kainama ya Harmonize ft Diamond & Burna boy?
Afrimma mmezingua sanaaaaaaa.
bange your best haiwezi kulinganishwa na never give upHivi unaanzaje kufananisha You are the Best ya Dimpoz na Kainama ya Harmonize?
Na unaanzaje kufananisha Rockstar ya Dimpoz na Tetema ya Rayvanny?
Ngoma za Dimpoz zimeenda shule ukilinganisha na hizo zingine zilizopaishwa kwa mihemko.
uyo jamaa ni shogaUnazingua Mzee ebu ReView Ngoma zata Ommy, urudi hapa ufute Kauli yako
keeping Good music alive kusubiri nyimbo ikufuate ni umamaNgoma gani mpaka uwe fan wake ndo uzijue????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23] Ngoma kali hata kama hufatilii mziki unazipata na kuzisikia... achana na huyo sijui anaimba utumbo gani