Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanda Bongo man nyimbo zake zinapigwa sana hadi leo lakini Wimbo kama Bill hujui hata maana yake but Unaufeel yani... haya despacito wewe unaelewa maana ake ule wimbo??? Ila balaa lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]Pole Sana.... Nyie ndio wale mliopost mnakumbuka nyimbo ya Bolingo ya Alicious mnaimiss mliisikia wakati mama yenu anaiimba. Full kunuka maziwa. Ni ngumu kumuelekeza kijana anayevaa suruali inabana mwili Kama wewe
hapo ndio mjifunze tofauti ya wasanii wanaoimba nyimbo na wanaoimba muziki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unaweza ukahisi umeachia miziki kumi mumbe kati ya hizo tisa ni nyimbo na mziki ni mmoja tu
na mwenzenu akatoa miziki mitatu tuuu na yote ikapitishwa kama miziki
yooooooooooooooh
tunaongelea your the best unasemea wanjera jaribu kuficha ujinga wakoAchana na remix... Ngoma yenyewe...Ikipigwa ile na wanjera ipi itatimua vumbi kwa raia??
Your the best sijaisikiliza mzee baba... Kwani katoa lini???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hata Clouds sijawahi iona wala ITV labda kwenye habari za michezo hakuna...tunaongelea your the best unasemea wanjera jaribu kuficha ujinga wako
basi wewe sio shabiki wa musicYour the best sijaisikiliza mzee baba... Kwani katoa lini???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hata Clouds sijawahi iona wala ITV labda kwenye habari za michezo hakuna...
Tetema ilitolewa kupotezea CHIBONGEEEMaudhui/ujumbe ya Tetema ni yapi ... Maana nyimbo ulizotaja maudhui yake ni hovyohovyo ....
Hujui Hata kufuatilia music,yan kwa akili yako unadhan Chibonge imetoka kabla ya Tetema?Tetema ilitolewa kupotezea CHIBONGEEE
Nifuatilie muzik kwa faida ya nani? Mimi napiga mishe zangu za kutafuta ugali muziki nausikiliza kwa bahati mbaya. Hayo mengine mnayafuatilia nyie wanyoa viduku.Hujui Hata kufuatilia music,yan kwa akili yako unadhan Chibonge imetoka kabla ya Tetema?
Tetema imetoka kabla ya chibonge tena nahis zaid ya mwez mmoja nyuma.
Kwani Kila anayeingia kwenye category lazima ashinde.....Kanda Bongo man nyimbo zake zinapigwa sana hadi leo lakini Wimbo kama Bill hujui hata maana yake but Unaufeel yani... haya despacito wewe unaelewa maana ake ule wimbo??? Ila balaa lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
NASEMA ACHENI KUMSIFIA OMMY KATIKA HIZO TUZO KAWEKWA TU HAAMBULII HATA MOJA...HAKUNA NGOMA YA MAANA AMETOA HAKUNAAA...HAKUNA
Acha kumlinganisha Mr Blue "Byser" na vitu vya kipumbavuHuo wimbo ni mzur Sana, tatizo ubao unasoma sio wimbo wake....ukweli Tu ni kuwa Rayvanny sa hv anatoa nyimbo za hovyooooo saana.....zinapigiwa promo sana Ila kwenye soko hazitoboi.....na kama asingekuwa anamshirikisha Mond hzo nyimbo zingekuwa zishamtupa nje ya mashindano, anatakiwa aimbe ana saut nzuri Sana kuliko wote pale WCB, sasa akianza kuingiza radha za hip-hop ndo atapotea kama Mr blue
Me shabiki wa mziki mzuri...[emoji23]basi wewe sio shabiki wa music
Bayser hawezi potea maisha yote mzee kama Mwana FA tu... zile namba chafu acha kufananisha utumbo ule na BysaHuo wimbo ni mzur Sana, tatizo ubao unasoma sio wimbo wake....ukweli Tu ni kuwa Rayvanny sa hv anatoa nyimbo za hovyooooo saana.....zinapigiwa promo sana Ila kwenye soko hazitoboi.....na kama asingekuwa anamshirikisha Mond hzo nyimbo zingekuwa zishamtupa nje ya mashindano, anatakiwa aimbe ana saut nzuri Sana kuliko wote pale WCB, sasa akianza kuingiza radha za hip-hop ndo atapotea kama Mr blue
Jamaa kavuta bhangi... watoto waliojua mziki jana wanatusumbua sanaAcha kumlinganisha Mr Blue "Byser" na vitu vya kipumbavu
[emoji1] [emoji1] vitoto vya juziJamaa kavuta bhangi... watoto waliojua mziki jana wanatusumbua sana
Sawa Boss.Nifuatilie muzik kwa faida ya nani? Mimi napiga mishe zangu za kutafuta ugali muziki nausikiliza kwa bahati mbaya. Hayo mengine mnayafuatilia nyie wanyoa viduku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]jamaa huwa hasikilizi mziki anamake money tuSawa Boss.