Inakuwaje Ommy Dimpoz anaingia kwenye Category nyingi za Afrimma kuliko Harmonize na Rayvany?

Inakuwaje Ommy Dimpoz anaingia kwenye Category nyingi za Afrimma kuliko Harmonize na Rayvany?

Pole Sana.... Nyie ndio wale mliopost mnakumbuka nyimbo ya Bolingo ya Alicious mnaimiss mliisikia wakati mama yenu anaiimba. Full kunuka maziwa. Ni ngumu kumuelekeza kijana anayevaa suruali inabana mwili Kama wewe
Kanda Bongo man nyimbo zake zinapigwa sana hadi leo lakini Wimbo kama Bill hujui hata maana yake but Unaufeel yani... haya despacito wewe unaelewa maana ake ule wimbo??? Ila balaa lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]


NASEMA ACHENI KUMSIFIA OMMY KATIKA HIZO TUZO KAWEKWA TU HAAMBULII HATA MOJA...HAKUNA NGOMA YA MAANA AMETOA HAKUNAAA...HAKUNA
 
Cc Khaligraph Jordan:
hapo ndio mjifunze tofauti ya wasanii wanaoimba nyimbo na wanaoimba muziki

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

unaweza ukahisi umeachia miziki kumi mumbe kati ya hizo tisa ni nyimbo na mziki ni mmoja tu

na mwenzenu akatoa miziki mitatu tuuu na yote ikapitishwa kama miziki

yooooooooooooooh
 
tunaongelea your the best unasemea wanjera jaribu kuficha ujinga wako
Your the best sijaisikiliza mzee baba... Kwani katoa lini???[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yani hata Clouds sijawahi iona wala ITV labda kwenye habari za michezo hakuna...
 
Tetema ilitolewa kupotezea CHIBONGEEE
Hujui Hata kufuatilia music,yan kwa akili yako unadhan Chibonge imetoka kabla ya Tetema?

Tetema imetoka kabla ya chibonge tena nahis zaid ya mwez mmoja nyuma.
 
Hujui Hata kufuatilia music,yan kwa akili yako unadhan Chibonge imetoka kabla ya Tetema?

Tetema imetoka kabla ya chibonge tena nahis zaid ya mwez mmoja nyuma.
Nifuatilie muzik kwa faida ya nani? Mimi napiga mishe zangu za kutafuta ugali muziki nausikiliza kwa bahati mbaya. Hayo mengine mnayafuatilia nyie wanyoa viduku.
 
Kanda Bongo man nyimbo zake zinapigwa sana hadi leo lakini Wimbo kama Bill hujui hata maana yake but Unaufeel yani... haya despacito wewe unaelewa maana ake ule wimbo??? Ila balaa lake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]


NASEMA ACHENI KUMSIFIA OMMY KATIKA HIZO TUZO KAWEKWA TU HAAMBULII HATA MOJA...HAKUNA NGOMA YA MAANA AMETOA HAKUNAAA...HAKUNA
Kwani Kila anayeingia kwenye category lazima ashinde.....
 
Huo wimbo ni mzur Sana, tatizo ubao unasoma sio wimbo wake....ukweli Tu ni kuwa Rayvanny sa hv anatoa nyimbo za hovyooooo saana.....zinapigiwa promo sana Ila kwenye soko hazitoboi.....na kama asingekuwa anamshirikisha Mond hzo nyimbo zingekuwa zishamtupa nje ya mashindano, anatakiwa aimbe ana saut nzuri Sana kuliko wote pale WCB, sasa akianza kuingiza radha za hip-hop ndo atapotea kama Mr blue
Acha kumlinganisha Mr Blue "Byser" na vitu vya kipumbavu
 
Huo wimbo ni mzur Sana, tatizo ubao unasoma sio wimbo wake....ukweli Tu ni kuwa Rayvanny sa hv anatoa nyimbo za hovyooooo saana.....zinapigiwa promo sana Ila kwenye soko hazitoboi.....na kama asingekuwa anamshirikisha Mond hzo nyimbo zingekuwa zishamtupa nje ya mashindano, anatakiwa aimbe ana saut nzuri Sana kuliko wote pale WCB, sasa akianza kuingiza radha za hip-hop ndo atapotea kama Mr blue
Bayser hawezi potea maisha yote mzee kama Mwana FA tu... zile namba chafu acha kufananisha utumbo ule na Bysa
 
nimechelewa au nimewai 😛😛😛😛😛😛😛
 
Nasikia kuna remix ya pili tena ya hiyo tetema
 
Back
Top Bottom