Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
ukweli ni kwamba hilo swali lako halina jibu sababu mziki haubebwi na hivyo vitu ulivyotajaNimeuliza swali muziki ni mashairi au melody? Hizo pumba zako kawashie mkaa
Sasa sherehe zinapigwa Nyimbo za wasafi tu...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kiukweli. Muziki labda niukute unapigwa sehemu au harusini ndo niulize dj huu wimbo wa nani? lakin sio mshabiki kiviile.
Wasafi ndo kina nani?Sasa sherehe zinapigwa Nyimbo za wasafi tu...!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaza tu ubongo ila nikikupa mtihani kuhusu Wasafi hapa utapata 100 na uhakika... Unaweza usimjue magu ila sio wasafiWasafi ndo kina nani?
Mi namsubiriaga dj Mwanga atupiemo nijipakulie[emoji3][emoji3]Mnasupport youtube na si sportfy,kule unalipia unasikiliza.Mngekuwa mnasuport kazi kwa kulipia online leo hii mdundo,mkito na wasafi.com zisingekufa na wao walikuwa wanatoza kwa Tsh,sasa kulipia kwa dollar ndio mtaweza sportfy.
Kwenye Youtube huku wabongo mnaongoza sababu kitonga,ila Itunes,Sportfy,Tidal,Shazam wanaongoza ni Kenya ndio maana Kenya mziki unalipa kuliko bongo,bongo hapa tunasubiri kwa kideboy tukapakue bure na kusikiliza bure Youtube.
Kimsingi ule wimbo ni wake amempa tu yule ndezi wa kikenya, amepita mulemule alimopita kwenye wimbo wake wa 'SIKUPENDI' so ni kama remix tu ileHuo wimbo ni mzur Sana, tatizo ubao unasoma sio wimbo wake....ukweli Tu ni kuwa Rayvanny sa hv anatoa nyimbo za hovyooooo saana.....zinapigiwa promo sana Ila kwenye soko hazitoboi.....na kama asingekuwa anamshirikisha Mond hzo nyimbo zingekuwa zishamtupa nje ya mashindano, anatakiwa aimbe ana saut nzuri Sana kuliko wote pale WCB, sasa akianza kuingiza radha za hip-hop ndo atapotea kama Mr blue
ndio ya Kwanza si haikuelewekaNasikia kuna remix ya pili tena ya hiyo tetema
Una kichwa cha tenzi ila unaandika ukushukweli ni kwamba hilo swali lako halina jibu sababu mziki haubebwi na hivyo vitu ulivyotaja
hivyo vipengele ndani ya music. na sio kuwa ndo vinabeba maana ya music. kajifunze bro sio unaropoka.
Hii ya pili afadhali kidogo,ile ya kwanza mizinguo tu ni afadhali vany boy ange watupia wasanii wa bongo tu.ndio ya Kwanza si haikueleweka
rayvan ni avarage msanii kabisa Hana jipyaHii ya pili afadhali kidogo,ile ya kwanza mizinguo tu ni afadhali vany boy ange watupia wasanii wa bongo tu.