Asalaam, kuna mshkaji ana dem wake wameishi takribani miaka 3 na wamebahatika kupata mtoto. Kutokana na maelezo ya mshkaji ni kwamba dem ndio alipenda kuzaa wakati mchizi bado hajaamua, basi msela akacheka na nyavu Kid huyo.
sasa dem baada ya kujifungua mpaka sasa amebadilika kitabia amekuwa kiburi, mtata, mbabe, akidai ashazaa na mchizi hivyo hawezi chomoa vinginevyo atamshikisha adabu ukizingatia vyombo vya sheria vipo sijui ustawi n.k sasa msela kaamua kujiengua dem anadai atajiua na msela ajiandae kutoa maelezo police na mambo mengine kibao. Ila ki kiukweli msela anasema hawezi tena kuishi na huyu dem mwenyewe anamwita nyapu.
Msela yuko radhi kuanza maisha upya ili nyapu achukue kila kilichopo ndani akaanze maisha na mtoto, lakini bado nyapu anadinda anadai hawezi kumwacha! sasa wandugu hapa inakuwaje? msela yuko njia panda japo ameshafanya maamuzi ila anaona kama misala inanukia nukia mbeleni huko, USHAURI PLEASE.
DAH HAYA MAHUSIANO WENGINE MWISHOWE TUNAOGOPA SASA
sasa dem baada ya kujifungua mpaka sasa amebadilika kitabia amekuwa kiburi, mtata, mbabe, akidai ashazaa na mchizi hivyo hawezi chomoa vinginevyo atamshikisha adabu ukizingatia vyombo vya sheria vipo sijui ustawi n.k sasa msela kaamua kujiengua dem anadai atajiua na msela ajiandae kutoa maelezo police na mambo mengine kibao. Ila ki kiukweli msela anasema hawezi tena kuishi na huyu dem mwenyewe anamwita nyapu.
Msela yuko radhi kuanza maisha upya ili nyapu achukue kila kilichopo ndani akaanze maisha na mtoto, lakini bado nyapu anadinda anadai hawezi kumwacha! sasa wandugu hapa inakuwaje? msela yuko njia panda japo ameshafanya maamuzi ila anaona kama misala inanukia nukia mbeleni huko, USHAURI PLEASE.
DAH HAYA MAHUSIANO WENGINE MWISHOWE TUNAOGOPA SASA