Inakuwaje Saido na Abundo waadhibiwe wakati walikuwa wanne?

Inakuwaje Saido na Abundo waadhibiwe wakati walikuwa wanne?

Saido anajitambua yule aligoma kulala Idukilo kwa Mganga wa kienyeji
Saido sawa...na ambundo je??
Sura yake yenyewe tu inaonyesha anatokea familia ya waganga wa kienyeji.

Nyie mikia msitichoshe hapa embu subilini kipigo mapemaaaa mkaangalie uefa huku mmenuna.
 
Back
Top Bottom