Inakuwaje SUA waruhusu bango lenye makosa

Inakuwaje SUA waruhusu bango lenye makosa

Na mbma "chuo kizima" hakijatambua ana kuchukua hatua ?! Ukimya unamaanisha kukubaliana na "fundi Maiko"

Afu na wewe ndio wale wale team vilaza sio "maiko" ni "Maiko" majina huandikwa kwa kuanza na herufi kubwa.
Kwahiyo 'Afu' ndio vitu gani? Na 'mbma' ndio mdudu gani? Nisaidie tafadhali, kilaza mie
 
Nchi ya wajinga hii ! Nimeona kibao kimeandikwa "CHINANGALI LOAD" badala ya CHINANGALI ROAD!
Elimu ya Tanzania ni elimu hafifu sana!
Mtu anamaliza hadi Chuo Kikuu hajui tofauti kati ya Rice na Lice!!!!
Wagogo ndiyo walivyo usishangae
 
Ujinga mtupu Outreach programs nyingi ni kupotezeana muda,ndy maana mimi nilipokuwa Chuo sikuwahi kuhudhuria kwa wakulima/wafugaji kwenda kuuliza maswali yalio nje na utekelezaji wake
 
Wewe naye ndio wale wale!!! “wewe je haudhalilishi kiswahili” ndio umeandika nini? Ulitakiwa uweke alama ya mkato mbele ya neno je, ZINGATIA ALAMA ZA UANDISHI mbwai mbwai ahaaaaaaaaa
Umeshikwa pabaya. Unakosoa kwa kukosea.
Jikague kwanza kabla haujakosoa.
Mie sijambezatu, wewe kuponda wenzio kujiona bora wakati hauko sawa, haipendezi!
Mimi kukosea kwangu hakuna shida kwani mara nyingi tu humu nakosea ila sijawahi mponda mtu kisa kakosea. Lengo langu ni kukukumbusha hakuna ale sahihi, sawa ?
 
Barbara ya unatokea National housing au shule ya msingi kiwanjani Kama unaenda jengo la gorofa mikutano la halmashauri au ofisi ya mamlaka ya maji. Mkono wa kushota kabla hujafika Hilo jengo la halmashauri.
Lipo mbinga sehemu gani
 
Wachoraj wengi wa hayo mabango shule hawana. wengi ni vipaji tu yani wanatumia vipaji Vyao katika uchoraji sasa linapokuja katika kuandika haya maneno ya kingereza kunakuwa na shida sana kwao vile vile wanachangamoto ya kuchanganya herufi mfano penye R wanaweka L .Pia hata ukija hukuu mitaan madukan kuna makosa mengi sana ya wachoraji hapo unaweza kuta alipewa maneno yapo sawa yeye akaacha nafasi.
 
Back
Top Bottom