Kwahiyo 'Afu' ndio vitu gani? Na 'mbma' ndio mdudu gani? Nisaidie tafadhali, kilaza mieNa mbma "chuo kizima" hakijatambua ana kuchukua hatua ?! Ukimya unamaanisha kukubaliana na "fundi Maiko"
Afu na wewe ndio wale wale team vilaza sio "maiko" ni "Maiko" majina huandikwa kwa kuanza na herufi kubwa.