Kwahiyo 'Afu' ndio vitu gani? Na 'mbma' ndio mdudu gani? Nisaidie tafadhali, kilaza mieNa mbma "chuo kizima" hakijatambua ana kuchukua hatua ?! Ukimya unamaanisha kukubaliana na "fundi Maiko"
Afu na wewe ndio wale wale team vilaza sio "maiko" ni "Maiko" majina huandikwa kwa kuanza na herufi kubwa.
Na hapo ndipo wanapozalisha Wasomi na Wataalamu mbalimbali.
Wagogo ndiyo walivyo usishangaeNchi ya wajinga hii ! Nimeona kibao kimeandikwa "CHINANGALI LOAD" badala ya CHINANGALI ROAD!
Elimu ya Tanzania ni elimu hafifu sana!
Mtu anamaliza hadi Chuo Kikuu hajui tofauti kati ya Rice na Lice!!!!
Mhariri wa New York Times!
Siyo kuzalilisha ni "kudhalilisha"Kwanini wasiliondoe maana linazalilisha chuo kizima
Umeshikwa pabaya. Unakosoa kwa kukosea.Wewe naye ndio wale wale!!! “wewe je haudhalilishi kiswahili” ndio umeandika nini? Ulitakiwa uweke alama ya mkato mbele ya neno je, ZINGATIA ALAMA ZA UANDISHI mbwai mbwai ahaaaaaaaaa
Lipo mbinga sehemu gani
Kwan SUA wana akili?
Kifupi katoka kabisa nje ya maana ya outreach na kuweka out reach...yaan katoka kwenye reli mazima😁