Inakuwaje ugomvi wenu wa mahusiano utatuliwe na wengine...????

Inakuwaje ugomvi wenu wa mahusiano utatuliwe na wengine...????

sasa kama wote hamna busara na hekima mnategemea nini? Lazima mumtafute mzee wa busara kama Kinyoba hapa awape darasa. Mi sioni ubaya ukisuluhishwa na mwingine na hii ni nzuri zaidi kama mmoja wenu ndie mwenye matatizo na hataki kukubali.inabidi utumie nguvu ya ziada kumaliza tatizo. Vinginevyo ni kutengana tu.
 
Dah.. mimi huwa si shei matatizo yangu na mtu wa nje.. yaani niongee kwa watu halafu kesho nionekane bado niko naye huyohuyo mtu.. Napenda niyasolve na mwenzangu na tuyamalize.. Nikishaanza kuyatoa nje tu basi ujue huo uhusiano unaelekea kufa.. kama sio kuisha kabisa. Nakuwa sipendi kuyatoa nje kwa sababu.. utakuta mtu unamwomba ushauri halafu huyo mtu anakujibu aahh unavumilia nini si umwache? halafu usipomwacha unaonekana kama mjeuri fulani au hujui unataka nini.. ahh..
 
  • Thanks
Reactions: LD
Back
Top Bottom