Inakuwaje wanafungwa mashoga lakini Mabasha wao wanaachwa, tupo serious Kweli?

Inakuwaje wanafungwa mashoga lakini Mabasha wao wanaachwa, tupo serious Kweli?

We jamaa ni mwandishi mmoja mahiri sana humu na una expossure kubwa ila nashangaa unavyoandika kuhusu mambo haya ya mmomonyoko wa maadili kana kwamba hujui vyanzo vyake. Umegusia tabia ya usingo madha, hapo sawa. Ila fahamu huu mmonyoko umeanzia mbali na unachangiwa na mifumo na mitindo ya maisha ya kisasa. Mambo mengi ya kimaadili na miiko ya jamii zetu imeachwa. Harakati na siasa za kupinga mambo ya kimaadili yaliyoongoza jamii mbalimbali kutunza maadili yao zimepuuzwa mpaka zikaundiwa kampeni kuzitokomeza na kisha kuzitungia sheria kali. Huwezi ukabomoa misingi ya kulinda maadili ya jamii halafu ikibomoka mbeleni ukaanza kulialia maadili hayapo wakati yalishaondolewa na hayapo. Hili suala la single mother ni matokeo ya kuupuzia maadili ya jamii. Zamani ilikuwa ni mwiko na ni laana mbaya mwanamke kuishi bila mume, ilikuwa ni lazima apate mume, na kwa wanaume ni hivyo hivyo. Huwezi kuishi bila mke wakati huna matatizo mwilini na akilini. Ndoa ilikuwa ndio kielelezo cha maadili ya jamii na pia ni ibada
 
We jamaa ni mwandishi mmoja mahiri sana humu na una expossure kubwa ila nashangaa unavyoandika kuhusu mambo haya ya mmomonyoko wa maadili kana kwamba hujui vyanzo vyake. Umegusia tabia ya usingo madha, hapo sawa. Ila fahamu huu mmonyoko umeanzia mbali na unachangiwa na mifumo na mitindo ya maisha ya kisasa. Mambo mengi ya kimaadili na miiko ya jamii zetu imeachwa. Harakati na siasa za kupinga mambo ya kimaadili yaliyoongoza jamii mbalimbali kutunza maadili yao zimepuuzwa mpaka zikaundiwa kampeni kuzitokomeza na kisha kuzitungia sheria kali. Huwezi ukabomoa misingi ya kulinda maadili ya jamii halafu ikibomoka mbeleni ukaanza kulialia maadili hayapo wakati yalishaondolewa na hayapo. Hili suala la single mother ni matokeo ya kuupuzia maadili ya jamii. Zamani ilikuwa ni mwiko na ni laana mbaya mwanamke kuishi bila mume, ilikuwa ni lazima apate mume, na kwa wanaume ni hivyo hivyo. Huwezi kuishi bila mke wakati huna matatizo mwilini na akilini. Ndoa ilikuwa ndio kielelezo cha maadili ya jamii na pia ni ibada

Kiutamaduni wa kiafrika hakuna msamiati single mother,
Ikitokea Mwanamke na Mwanaume wameachana Watoto wanachukuliwa na upande wa Baba.

Ni mwiko Binti kwenda kutafuta Maisha, yaani akapange chumba akitafuta Maisha kama kijana. Lakini tumeshapuuza Mila na desturi
 
Kiutamaduni wa kiafrika hakuna msamiati single mother,
Ikitokea Mwanamke na Mwanaume wameachana Watoto wanachukuliwa na upande wa Baba.

Ni mwiko Binti kwenda kutafuta Maisha, yaani akapange chumba akitafuta Maisha kama kijana. Lakini tumeshapuuza Mila na desturi
single mother ni msamiati wa lugha ya kiingereza wenye maana ya mama asiye na mume, mama anayeishi na watoto wake bila baba. Kumezuka tabia ya baadhi ya mastaa wa kike, wafanyabiashara wa kike na wasomi wa kike kuzaa tu bila ndoa rasmi/mume rasmi, mapenzi wanayapenda na wanazaa watoto ila hawataki kuishi pamoja na wanaume waliozaa nao kwa dhana kwamba hawataki kutawaliwa na mwanaume ndani ya nyumba yaani hawataki kuwa chini ya mwanaume. Wanamiliki fedha na vitega uchumi kunakowapa jeuri ya kukataa kuolewa na kuishi maisha ya ndoa
 
single mother ni msamiati wa lugha ya kiingereza wenye maana ya mama asiye na mume, mama anayeishi na watoto wake bila baba. Kumezuka tabia ya baadhi ya mastaa wa kike, wafanyabiashara wa kike na wasomi wa kike kuzaa tu bila ndoa rasmi/mume rasmi, mapenzi wanayapenda na wanazaa watoto ila hawataki kuishi pamoja na wanaume waliozaa nao kwa dhana kwamba hawataki kutawaliwa na mwanaume ndani ya nyumba yaani hawataki kuwa chini ya mwanaume. Wanamiliki fedha na vitega uchumi kunakowapa jeuri ya kukataa kuolewa na kuishi maisha ya ndoa

Ni ngumu Mwanamke wa Kariba hiyo kum-rise mtoto wakiume kuwa mwanaume kweli
 
Umenena vyema, wote wanatakiwa wawajibishwe.

Bt kudeal na hao wanaojinadi mabarabarani ni hatua za awali.

Baada ya hapo, wafuatwe na waliojificha.
 
Labda hawana vipimo thabiti vya kumpima basha na kumkamata
Kipimo ni ule waya wa kuchomea mishikaki unaingizwa ule kwenye tundu la mkojo sasa ole wako utoke na kinyesi.. Pita huku
 
Ni ngumu Mwanamke wa Kariba hiyo kum-rise mtoto wakiume kuwa mwanaume kweli
aina hii ya mtindo wa maisha ndiyo inayozalisha watoto wasijua thamani ya ndoa. Sasa kama mtoto amezaliwa na kulelewa na mama tu huku baba yake yuko hai na haishi naye kimalezi, hata yeye akikuwa ataiga mtindo wa maisha ya mama yake. Mfano hai, hawa watoto wa mastaa hawataoa/kuolewa kwa kuwa hakuna maisha hayo kwa mzazi wao/mama yao. Mama hana maadili ya ndoa ya kumpa mtoto wake akayaishi. Mwendo utakuwa ni uleule usingo madha. Mtoto wa kiume wa singo maza ana hatari ya kutumbukia kwenye ushoga kutokana na malezi ya mama yake tu yasiyo na baba. Hawa kina mama wenye uwezo wa kiuchumi wapende kuishi na wanaume hata kama wamewazidi kimapato ili kuokoa malezi ya watoto wote, zaidi watoto wa kiume. Watoto wa kiume wanapoteza superiority ya uanaume inayotoka kwa baba.
 
Back
Top Bottom