Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajamii, hivi inakuwaje pale unapokuta mtu kaoa au kaolewa, lakini bado anamng'ang'ania mpenzi wake wa zamani kabla hajaingia katika ndoa? Je hii ni afya kweli katika mapenzi? Kwanini usiridhike na huyo aliyekuoa au uliyemwoa? Nawakilisha!!!!!!
duh!naona leo ni mambo ya ndoa tu humu ndani.
mh!mi mwenyewe mgeni
Huyo ni kicheche tu,Wanajamii, hivi inakuwaje pale unapokuta mtu kaoa au kaolewa, lakini bado anamng'ang'ania mpenzi wake wa zamani kabla hajaingia katika ndoa? Je hii ni afya kweli katika mapenzi? Kwanini usiridhike na huyo aliyekuoa au uliyemwoa? Nawakilisha!!!!!!
Wanajamii, hivi inakuwaje pale unapokuta mtu kaoa au kaolewa, lakini bado anamng'ang'ania mpenzi wake wa zamani kabla hajaingia katika ndoa? Je hii ni afya kweli katika mapenzi? Kwanini usiridhike na huyo aliyekuoa au uliyemwoa? Nawakilisha!!!!!!
....sifa kuu ya moyo kutamaaani...tamaa mbaya..20paa
Nataka kuleta posa kwenu hebu jiandae basi.zinaa tu hizooo!!!
....sifa kuu ya moyo kutamaaani...tamaa mbaya..20paa
imeandikwa wapi? Mungu aliiumba moyo ili utamani??
Wanajamii, hivi inakuwaje pale unapokuta mtu kaoa au kaolewa, lakini bado anamng'ang'ania mpenzi wake wa zamani kabla hajaingia katika ndoa? Je hii ni afya kweli katika mapenzi? Kwanini usiridhike na huyo aliyekuoa au uliyemwoa? Nawakilisha!!!!!!
suala hili lipo tena kwa wanandoa wengi, na hii inatokana na maagano yanayofanyika kati ya wapenzi, wapenzi wengi wanapokuwa kwenye mahusiano hutamka mambo mengi na ahadi nyingi ambazo huenda kukaa moyoni, maagano haya watu wengi hawayavunji mara baada ya kuamua kuoa hivyo kusababisha kutangatanga na kumkumbuka mpenzi wa zamani. Fikiria mpenzi anapokuandikia message kuwa "yeye na wewe ni wa kuzikana" haya maneno huenda kuishi moyoni na inakuwa ni ngumu sana kuyaondoa. Kumbuka maneno mliyotamkiana na mpenzi wako wa zamani na ujiulize kama umeshawahi kuyakana. Ila haya ni mambo ya kiroho sio watu wengi wanayaelewa.Wanajamii, hivi inakuwaje pale unapokuta mtu kaoa au kaolewa, lakini bado anamng'ang'ania mpenzi wake wa zamani kabla hajaingia katika ndoa? Je hii ni afya kweli katika mapenzi? Kwanini usiridhike na huyo aliyekuoa au uliyemwoa? Nawakilisha!!!!!!
Kiroho zaidi au?suala hili lipo tena kwa wanandoa wengi, na hii inatokana na maagano yanayofanyika kati ya wapenzi, wapenzi wengi wanapokuwa kwenye mahusiano hutamka mambo mengi na ahadi nyingi ambazo huenda kukaa moyoni, maagano haya watu wengi hawayavunji mara baada ya kuamua kuoa hivyo kusababisha kutangatanga na kumkumbuka mpenzi wa zamani. Fikiria mpenzi anapokuandikia message kuwa "yeye na wewe ni wa kuzikana" haya maneno huenda kuishi moyoni na inakuwa ni ngumu sana kuyaondoa. Kumbuka maneno mliyotamkiana na mpenzi wako wa zamani na ujiulize kama umeshawahi kuyakana. Ila haya ni mambo ya kiroho sio watu wengi wanayaelewa.
Nimekumiss wewe mtuKiroho zaidi au?
Am back now love mie pia nilikumic sanaNimekumiss wewe mtu
Mba au?Mhhhhhhhhhhhh