thread title ina question mark hivyo una comment unachohisi wewe ni sahihi.did you agree or notKwa mara ya kwanza nausikia huu wimbo kwenye ile clip yupo na iyobo, moja kwa moja nlijua huu wimbo katungiwa Iyobo ili kumfariji baada ya kumwagana na aunt (maana ndo kipindi hichohicho ambacho Aunt alikuwa akibanjuka na kiserengeti flan huku ikisemekana moze kaachwa) na sio Zari kama thread inavodai...
Hivi masikio yenu yanasikia kama yangu?
hata hivyo mwana mama zari amesema amejifunza kusamehe na atawaomba na watoto wake(tiffah&nillan)wamsamehe baba yaoHabari za muda wakuu, Katika kusikiliza na kusoma lyrics za ngoma ya Diamond Platinumz Ft Fally Ipupa inaonekena aliamua kufikisha ujumbe kwa mzazi mwenzie huyo.
Tuanze hapa
"Una pesa kama Dangote unaeza penda mtu yeyote" mwana mama Zara amekuwa akitamba katika interview kadhaa kuwa yeye ana pesa ikiwemo ile na Millard Ayo
"Mapenzi sio sumu kasome kwa kitabu" hapa jamaa kaamua kumpa message mzazi mwenzie huyo baada ya kuonyesha kumchukia
"Siku hizi wanangu siwaoni naishia kuwa like insta" hii no baada ya Zari kuzuia jamaa kutopata nafasi ya kuwaona watoto wake
"Anaekupenda pendana nae asokupenda acha nae " baada ya Zari kuonesha kumchukia kupita kiasi ukizingatia jamaa alikiri kuwa mzazi mwenzie huyo alichepuka alipokuwa akihojiwa wasafi FM block 89 na jamaa kuwa na mahusiano na Tanasha
Mlio wa kukuKwaiyoo???
πππMlio wa kuku
Wanawake ni viumbe wa ajabu sana
Mazara ndio Nini mkuu?Mazara yakuzaliwa na mama wakiswahili
nashukuru our house maidAsante secretaria wa wasafi
"mazara"aliekufunza kuandika ni mwehuπππMazara yakuzaliwa na mama wakiswahili