Dong Jin
JF-Expert Member
- Jun 4, 2018
- 968
- 2,034
Kwa mara ya kwanza nausikia huu wimbo kwenye ile clip yupo na iyobo, moja kwa moja nlijua huu wimbo katungiwa Iyobo ili kumfariji baada ya kumwagana na aunt (maana ndo kipindi hichohicho ambacho Aunt alikuwa akibanjuka na kiserengeti flan huku ikisemekana moze kaachwa) na sio Zari kama thread inavodai...
Hivi masikio yenu yanasikia kama yangu?
Hivi masikio yenu yanasikia kama yangu?