Inamaana hakuna watu wenye sifa

Inamaana hakuna watu wenye sifa

Ngunya1

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2017
Posts
439
Reaction score
698
Huwa nafikiria sana sipati majibu mbunge wangu amekuwa mbunge tangu 2000 mpka leo 2022 na mwaka 2020 alipita bila kupingwa inamaana jimbo zima ni yeye tu mwenye sifa zakuwa mbunge ?ina maana anauchungu sana na hili jimbo ndo maana hataki kuachia ubunge ifike mahala hawa watu wawe na ukomo wa kuwa wabunge ili waingie watu wengine wenye mawazo mapya nawasilisha huku na kunywa bia maana inaumiza sana mtu yuleyule kila uchaguzi
 
Ndugai ee? maana huyo ñi miongoni mwa wabunge waliokuwepo mjengoni mwaka 2000
 
Una pesa tuanzie kwanza apo, kabla atujafika kwenye ishu ya uchawi
 
Huwa nafikiria sana sipati majibu mbunge wangu amekuwa mbunge tangu 2000 mpka leo 2022 na mwaka 2020 alipita bila kupingwa inamaana jimbo zima ni yeye tu mwenye sifa zakuwa mbunge ?ina maana anauchungu sana na hili jimbo ndo maana hataki kuachia ubunge ifike mahala hawa watu wawe na ukomo wa kuwa wabunge ili waingie watu wengine wenye mawazo mapya nawasilisha huku na kunywa bia maana inaumiza sana mtu yuleyule kila uchaguzi
Ndugu anza na wewe.

Je una sifa ziaidi yake kumwondoa kwenye ubunge? Ikiwa wewe huna basi wenzio wote ndio ziaidi yako n mnashauriwa kuendelea na kilevi maana hiyo ndo saizi yenu
 
Back
Top Bottom