Mwanongwa
JF-Expert Member
- Feb 15, 2023
- 611
- 567
Hivi ni TANROADS inamaana haya mashimo kwenye hii Barabara ya Kyela kuelekea Junction hamuyaoni au ni ujeuri tu?
Hii Barabara imekuwa kero kubwa sana kwa sisi watumiaji maana ina mashimo Hadi basi, kila siku magari yana pasua vioo pamoja na kuvunja vipuri.
Kibaya zaidi naye Mbunge wetu anajifanya haioni hii kero au ndiyo anasubiri muda wa kampeni ufike aombee kura kwa kutoa ahadi za kurekebisha.
Ndugu Mbunge Ally Mlaghila Jumbe maarufu kama Kinanasi, hivi unazikumbuka zile ahadi zako kuhusu hii Barabara?
Serikali tunaomba mtusaidie kutatua hii kero maana soon tutaanza kushuhudia ajali.
Hii Barabara imekuwa kero kubwa sana kwa sisi watumiaji maana ina mashimo Hadi basi, kila siku magari yana pasua vioo pamoja na kuvunja vipuri.
Kibaya zaidi naye Mbunge wetu anajifanya haioni hii kero au ndiyo anasubiri muda wa kampeni ufike aombee kura kwa kutoa ahadi za kurekebisha.
Ndugu Mbunge Ally Mlaghila Jumbe maarufu kama Kinanasi, hivi unazikumbuka zile ahadi zako kuhusu hii Barabara?
Serikali tunaomba mtusaidie kutatua hii kero maana soon tutaanza kushuhudia ajali.