Barabara ya kilwa, toka somanga, mpaka nangurukuru ni mashimo tu, maeneo yaliyoharibiwa na mvua za mwaka jana mpaka leo hayajakaa sawa, na mvua nyingine zinaanza muda si mrefu.
Nimecheka sababu wanapanga dili liweje, muda sahihi.
Maana nikiwa likizo jijini Dar, niliipita barabara moja maeneo ya ndugu zangu.. mwaka mzima walikuwa wanaziba viraka na ni vikubwaaaa haswa hata Makamu Waziri Mkuu wanapita daily ni eneo anaishi. Barabara ndefu ila wao ziba rudi ziba rudi na magari mkubwa mazito yanapita hapo sana.
Sielewi kwanini hawafanyi kazi za kudumu bali lami ya kudanganya ili warudie kazi kila mara.
Barabara ya kilwa, toka somanga, mpaka nangurukuru ni mashimo tu, maeneo yaliyoharibiwa na mvua za mwaka jana mpaka leo hayajakaa sawa, na mvua nyingine zinaanza muda si mrefu.