kwanini nijifanye mjinga? cwezi.
Being a full-time mother is one of the best salaried jobs...since the payment is pure LOVE
Eti uzungu uzungu hata ningekuwa mie Fidel ningemaka kwa sababu huyo dada sifa zake si haba sasa nikiona Mr kareact hivyo nikaekimya na kufungulia magonjwa mlango? Nyie wanaume sijui mkoje yaani mnatake kila kitu simple tu!!
Ok nimekuelewa inawezekana ikawa hivyo but what if lilikuwa swali genuine tu la kawaida. Mimi nimekaa ofcn kwangu nikasikia mtu akiitwa flani anafanya kazi ofc ya mume wangu- sitakiwi kumwuliza mume wangu kama anamfahamu? mbaya zaidi huyo niliyemsikia ana ubini sawa na mume wangu pengine nataka kujua kama ni mmoja wa wifi zangu nisiyemjua?? Wajameni kwa nini kujishuku? au basi angeuliza kafanyaje? au ndio nani? lakini si mitusi aloshushiwa bi dada!!Huwezi kujua, usikute hata huko ofisini kashazushiwa kwamba anammega huyo dada, na ni kitu kinachomkera sana. Sasa akahisi kwamba huo umbea umeshamfikia mpaka mkewe na mkewe kakurupuka kuudakia!
Halafu maswali gani hayo ya kuulizana asubuhi asubuhi? Kwanini asingetafuta muda muafaka?
HAHAHAHAH..Sijacheka toka siku ianze... thanks for making my day!Chondechonde WOS! Usimfundishe mjukuu wangu kwenda kwa Sangoma! LOLZ!
Mmh M1 umenishtua!! hii sentensi huwa anapenda sana kuitamka my wife ... hivi ni kweli kwamba wanaume we are taking everything in its slightest weight?? me nahisi wakati mwingine wanawake huwa mnakuwa na presha za ajabu sana ... kitu kidogo tu mna wasiwasi kweli ... na sasa naamini huu upungufu wenu ndio unaopelekea wakati mwingine nyie kufanya maamuzi yasiyo ya busara!!
kuweni na confidence dada zangu!!
Ok nimekuelewa inawezekana ikawa hivyo but what if lilikuwa swali genuine tu la kawaida. Mimi nimekaa ofcn kwangu nikasikia mtu akiitwa flani anafanya kazi ofc ya mume wangu- sitakiwi kumwuliza mume wangu kama anamfahamu? mbaya zaidi huyo niliyemsikia ana ubini sawa na mume wangu pengine nataka kujua kama ni mmoja wa wifi zangu nisiyemjua?? Wajameni kwa nini kujishuku? au basi angeuliza kafanyaje? au ndio nani? lakini si mitusi aloshushiwa bi dada!!
HAHAHAHAH..Sijacheka toka siku ianze... thanks for making my day!
hakuna cha sangoma wala nini!
Hapimi mtu hapa!
Basi weka vitu hadharani mama! Ukienda PM na kajukuu kangu muda si mrefu kina bht, charity, nyamayao,pearl nk nk nk watakutafutia huko. Siku nzima itaishia uko kwenye PM afu wenye kiu na wewe tukafa na kiu yetu!
Hapimi mtu hapa!
Hapimi mtu hapa!
siyo kila kesi inasikilizwa mahakama ya wazi...nyingine husikilizwa chamber - in camera- hakuna waandishi wa habari wala wasikilizaji.Ni kwa faida ya jamii lol!
Madabwada mie mkeo!! lol
Ni kweli pengine we are worrying over just everything!! Inatukost but huwa hatuworry unless tumehisi kitu Mr!
hahahahah...usisubiri yeye akuite mkapime. Mwite yeye....Hehehe! Ngoja waifu akinitaka nikapime Ngoma ntaku-PM tutete! LOL!
Hapimi mtu hapa!
We umeamkia gesti gani leo?
Hee Geoff Mara?????
Kuna sredi ya WOS kule ya kuhusu kupima nenda kachungulie.
Hehehe! Tatizo yeye ndiye mshauri nasaha! Kama walikuja kanisani basi mama watoto huenda naye alikuja. Shirika lao ndo lina kampeni hiyo. Unaona maajabu haya? Waifu ni kansela lakini mume anaogopa kupima! Thanks God yeye huwa anapima. If she is OK, am OK! Thats my principle!hahahahah...usisubiri yeye akuite mkapime. Mwite yeye.... inanikumbusha wakati fulani wataalamu walikuja kanisani kwetu wakahamasisha watu wakapime.Watu walikuja kanisani na familia zao - baba, mama na watoto. Baada ya uhamasishaji kilichotokea ni wakina mama na watoto ndio walioongoza kwenda kupima.Wakina baba wakaelekea kwenye magari yao wakaenda kuwasubiri wamama na watoto wapime! Ilikuwa aibu maana maswali yaliyojitokeza dhahiri ni kuwa wakina baba hawakwenda kupima kwanini???
ingekuwa ni wewe wanao na mke wameenda kupima wewe ukasubiri kwenye gari - ungewaangaliaje wanao mkiwa mezani? wakianza kukuuliza baba kwanini hukuja kupima ungejibu nini?
Hehehe! Tatizo yeye ndiye mshauri nasaha! Kama walikuja kanisani basi mama watoto huenda naye alikuja. Shirika lao ndo lina kampeni hiyo. Unaona maajabu haya? Waifu ni kansela lakini mume anaogopa kupima! Thanks God yeye huwa anapima. If she is OK, am OK! Thats my principle!
BTW na wewe ulipima au uliliacha hilo jukumu kwa watoto? Najua mzee hakupima, sina haja ya kukuuliza!