MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #101
Ninadhani ndoa hiyo ina migogoro ya muda mrefu kiasi kwamba mume amekuwa sensitive sana na maswali ya jinsi hiyo. So ili kujilinda, inabidi aporomoshe matusi ili maswali yasiendelee.
Kuna polite way ya kuuliza maswali sensitive, inaonekana muulizaji hakutumia polite language. Mhusika akiulizwa swali kishari shari anaweza kujibu ama kwa mkato au akaporomosha matusi. Kwenye mahusiano/ndoa unapouliza maswali ya kishari/kipolisi au kama ya kitimoto, always huwa hayaishii pazuri. Mara nyingi huwa inaongeza tension hasa kama mahusiano/ndoa hiyo ina historia ya kutuhumiana/kutoaaminiana.
Nina refer majibu ya mhusika, "mimi si malaya/mhuni wa kutembea na KILA CHANGU". So inaonyesha alishatuhumiwa/fumaniwa/shikwa akitoka nje ya ndoa.
Kwa hiyo kuuliza maswali sensitive sometimes kunahitaji hekima ya kutosha, kuangalia mazingira na trend ya mahusiano/ndoa. Suppose watu wametoka kugombana asubuhi hiyo ama jana yake usiku mke alimnyima mume wake, au mume alichelewa kurudi nyumbani unategemea jamaa akikumbana na swali kama hilo hataacha kutoa matusi? Maana wengi wetu kabla ya kujibu maswali ya jinsi hiyo lazima huwa tunajiuliza, kwanini kaniuliza? Ndipo kwa haraka mtu anaweza kuunganisha dots ambazo zinaweza kuwa sahihi ama siyo sahihi, matokeo yake ni kuporomosha matusi ama majibu ya mkato.
Ni ngumu kumhukumu huyo mwanaume kama anammega huyo dada au la, kwa kuwa tu ameporomosha matusi. Kwa maoni yangu, ninahisi kuna mengine ya ziada ambayo wachangiaji na MJ1 hatuyajui. More details plz!
Keil umejibu vema nashukuru kwa mchango wako. Lakini nikuulize swali moja ina maana hakuna njia nyingine ya kistaarabu ambayo huyo mbaba angetumia kufikisha ujumbe wake zaidi ya matusi? Hamjui ndo mnatupa hint mnaporeact tunaamini kuna kitu?