Bwii89
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,025
Wakuu hii imekaaje? Unakutana na dem mnaongea vzur tu mnabadilishana mawasiliano..baada ya muda unaanza kurusha nyavu ( tongozo) mtoto anaona msg watsap na anasoma (blue tick) ila hajibu chochote! Hua wanamaanisha nn hawa wanawake? Nina experience ya she kama tatu hivi!