Kwa mbagala ndani huku ni 35,000/= mpaka 50,000/= kwa strategic area rangitatu, zakhiem na kizuiani 100,000/= mpaka 150,000/= kutrkoea sehemu izo kuingia ndani kidogo 80,000/= around.
Kupewa na ndugu haa[emoji134][emoji134] bilashaka wewe unatoka familia za kina MO, Bakhresa yaani mtaji akupe ndugu ndio maana kumbe zile kauri za mujiajiri munatoaga kirahisirahisi.
Mkuu usione nakusema sana kwa kuandika statement hiyo tu βOmba mtaji kwa nduguβ imetosha kujua kwamba ujui maisha ya Tanzania yapoje hasa hakuna atayejitaabisha miaka kutafuta mtaji ikiwa anauwezo wa kupata kwa ndugu mzee waangalie mtu kama Naja naja wangepata neema hiyo usingewaona kabisa JF na mtaji usingekuwa tatizo kamwe.
βMtaji upewe na ndugu haaaa serious that life, that family, that tribe.
Kuna jamaa amepiga vibarua vya kuosha magari miaka miwili Just kupata mtaji wa 2M.
Kuna jamaa amepiga kazi kama mfanya usafi wa Guest House miaka mitano Just kupata mtaji wa kufanya kilimo.
Kuna wanachuo wanabana Boom miaka mitatu just kupata hata 2M.
LIFE NOT EASY BOSS labda KWAKO.
Sijaelewa hapa mkuu.
Ila mchicha haujawahi kuwa mbuyu
Sometimes unakua real sana nigger,shida yangu na wewe hua ni uandishi wako tu.Kupewa na ndugu haa[emoji134][emoji134] bilashaka wewe unatoka familia za kina MO, Bakhresa yaani mtaji akupe ndugu ndio maana kumbe zile kauri za mujiajiri munatoaga kirahisirahisi.
Mkuu usione nakusema sana kwa kuandika statement hiyo tu βOmba mtaji kwa nduguβ imetosha kujua kwamba ujui maisha ya Tanzania yapoje hasa hakuna atayejitaabisha miaka kutafuta mtaji ikiwa anauwezo wa kupata kwa ndugu mzee waangalie mtu kama Naja naja wangepata neema hiyo usingewaona kabisa JF na mtaji usingekuwa tatizo kamwe.
βMtaji upewe na ndugu haaaa serious that life, that family, that tribe.
Kuna jamaa amepiga vibarua vya kuosha magari miaka miwili Just kupata mtaji wa 2M.
Kuna jamaa amepiga kazi kama mfanya usafi wa Guest House miaka mitano Just kupata mtaji wa kufanya kilimo.
Kuna wanachuo wanabana Boom miaka mitatu just kupata hata 2M.
LIFE NOT EASY BOSS labda KWAKO.
Pia mjuaji sanaSometimes unakua real sana nigger,shida yangu na wewe hua ni uandishi wako tu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787]Ndugu wakupe mtaji?? Hata mzazi wako anaweza kuona niheri akahonge kuliko kukupa ukaifanyie mtaji.
Kitu pekee wanachoweza kukupa kirahi tena bila yakuwaomba ni mikoba ya uganga na uchawi tu
Manengelo said:Anza na biashara yenye mtaji mdogo kbs... (toa aibu hapa) uza miwa n.k..
usidhani kila aliyeko juu amepewa mtaji... HAPANA!
Share nasi manengeloSiku nitakwambia nilivyoanza zero
Hii ndo iliyonifanya kusema siku moja kwamb "NAKUPENDA BILA SABABU" na si vinginevyo!
haupo nyuma kwenye masuala kam haya.
Malkia wa nguvu JF!
Share nasi manengelo
Manengelo said:JF ni kichaka cha maajabu
Siwezi share tena mkuu... am sorry!
Peace N Love
Hopefully atajifunza mkuu.Pia mjuaji sana
Kuna optimistic and pessimistic people, Hatuwezi fanana.Daaah hii dunia haiko fair kabisa, kuna mtu anatafuta 1.5m kwa mwaka ili afanye biashara wakati wengine tuna pesa ila hatuoni biashara ya kufanya
ipo fair vizuri tu mkuu kama yupo mtandaon kupost bullsi=hit tu lazima 1.5 iwe ngumuDaaah hii dunia haiko fair kabisa, kuna mtu anatafuta 1.5m kwa mwaka ili afanye biashara wakati wengine tuna pesa ila hatuoni biashara ya kufanya