Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Hiyo inaitwa character development.Huku Sasa ndio kupigwa na kitu kizito kichwani.
Ila pole.
Ila pole.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Ulitaka afanyaje😂
Sawasawa 👍Hiyo inaitwa character development.Huku Sasa ndio kupigwa na kitu kizito kichwani.
Ila pole.
Duh!!!Anaolewa na mimba au alishajifungua?
Wewe unaumwa si bure,sasa demu ulishampiga chini,leo eti unaumia kisa anaolewa,acha hizo bhana Wanaume huwa tunakuwa na misimamo mkuu.Wana MMU naombeni mnipe tu pole.
Mie ni mtu nisiyeumizwa na mambo ya mahaba, lakini nashangaa kuona huyu single mother niliyekutana nae kwenye pilika za maisha mkoani Mbeya, anaolewa [emoji26].
Huyu single mother mie nilikuwa ni msafiri na mpitaji ili nililazimika kukaa baada ya kusema amenasa ujauzito. Sasa katika pilika pilika za kulea ujauzito, nikajikuta napata hisia [emoji3].
Ila baada ya kugundua kuwa naletewa mapicha picha si ndio nikakapiga chini. Ila si haba, kamekula sana vijisenti vyangu vya kila mwezi.
Sasa nimeona picha ze send off yake nimeumiaje? Sijui niende nikafanye vurugu [emoji847]. Yaani hapa hata sijielewi. Nahisi siku yangu leo imekuwa mbaya kabisa.
Tafuta bar iliyo karibu na wewe piga maji haswa, na sema piga maji mpaka muhudumu akuambie basiWana MMU naombeni mnipe tu pole.
Mie ni mtu nisiyeumizwa na mambo ya mahaba, lakini nashangaa kuona huyu single mother niliyekutana nae kwenye pilika za maisha mkoani Mbeya, anaolewa [emoji26].
Huyu single mother mie nilikuwa ni msafiri na mpitaji ili nililazimika kukaa baada ya kusema amenasa ujauzito. Sasa katika pilika pilika za kulea ujauzito, nikajikuta napata hisia [emoji3].
Ila baada ya kugundua kuwa naletewa mapicha picha si ndio nikakapiga chini. Ila si haba, kamekula sana vijisenti vyangu vya kila mwezi.
Sasa nimeona picha ze send off yake nimeumiaje? Sijui niende nikafanye vurugu [emoji847]. Yaani hapa hata sijielewi. Nahisi siku yangu leo imekuwa mbaya kabisa.