Inaniuma!

Dah pole sana dadaangu!
Kweli ase ivi vichwa vyetu mda mwingine mmmh
Kama tigo wami,,,no network kabisaaaa
Yani usipokee simu zake wala kumjibu chochote
Piga kimya adi apoteze
 
sijaiona ningekuwa nishaijibu kitambo mbona???????????????
 
Smart lady unaniangusha.. Inabidi uachike kwa kuonesha uwezo kidogo ili umchangamshe huyo mshenzi...

Ndio wanaume tunazingua lakini huwa tunajishtukia kwa wadada walioonesha kutujali...

Unaijua Great war between gods and Titans in greek mythology? Ushaona vita kati ya wakulima na wafugaji au vita vya Koo za kikurya baada ya kuibiana ngombe? Inabidi umchangamshe kwa vita nene ambayo hataisahau maishani..

Kama anaoa mwingine maana yake we umetolewa mashindanoni, so ukiwa kimya ni sawa sawa na umetolewa kwa kupigwa 3-0 home and away kitu ambacho ni dharau..

Inabidi utolewe kibingwa ambacho hata anaekutoa mashindanoni anabaki anakuheshimu kwa challenge ulizompa,, umeshawai kuona Barcelona anavyotolewaga kwenye champions league balaa lake linavyokuwaga zito? Au umeshawai kuona Celtics anavyotolewaga kwenye NBA series game 7 anavyokuwaga? Inabidi utoke kibingwa dada yangu na kama ikiwezekana force the game to overtime kwa 3 point kali kama aliyoipiga Mario charmer kwenye Final four 2008 enzi za university of kansas before ajafika Miami heat hadi Derick rose akashika kichwa..

Dada yangu toka kibingwa kwa vurugu za kufa mtu.. Protect your happiness and womanhood ili isiendelee kuchezewa na wanaume wapumbavu kama huyo.. Yaani two goodyears mnasota wote halafu akumwage kirahisi uchekeleee...

Inabidi muwe mnaangalia The ashes series ( cricket), wimbledon semi finals (tennis), Rugby world cup semi finals as Australia vs new zealand ( 2011) muone zinavyopigwa ngumi.. As mtu anatolewa mashindanoni ameshapigana mpaka amefikia mwisho, hata anayemtoa anabaki hoi ana hamu nae tena
 

haswaa!! hapo umenena ndugu, kuumia utaumia ila kunamwisho wake, poteza mawasiliano nae, kuwa bize na mambo yako, then mambo yatajipa. UTAMPATA MWINGINE ATAKAYE KUFAA.
 
Smart Lady kaa naye mbali huyo mtu and forget him ili usiendelee kuumia,fanya mambo yako mengine kwa sasa coz maisha ni lazima yaendelee!!!!!!
 
smart lady, acha kulia kulia, mpige bit la uhakika, mwambie na akiendelea na hizo calls sijui mesage mwambie utamwambia mke wake, akiendelea zipeleke kweli kwa mke wake au kubali kuonana nae kisha muite mke wake aje hapo, unamuhurumia nini wakati amekutenda, watu wengine bana anakuacha kwa mbwembwe halafu anataka urafiki,
 

Mloge. Simple and Clear!
 
aiseee hata mie nimeumia sana!ila nakuhakikishia,malipo hapa hapa duniani!atakuja kukupigia magoti,wewe endelea na maisha yako!!kwenye simu mu-add katika reject list,email katika spam box,usumbufu utaisha
 
pole dear..endelea na maisha,dunia lazima imchape mbulula huyo..tena mshukuru Mungu kuna kitu amekuepushia!!
 

pole sana smart lady!
Mpaka kesho simshauri mtu yeyote kuwekeza ktk mapenzi/mahusiano kwani mwisho wake umekuwa mbaya siku zote.

Wapo wanaume waliosomesha mpaka chuo kikuu lakini mwisho wake hawakutambuliwa,
and vaisivesa z true, thatz wat happen to you................
Pole sana.
 

wanasemaga akili za kupewa changanya na za kwako,lakini mimi ningebeba hizi hizi za kupewa,thanks alot Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Kulikuwa kuna vita ila ww kwasababu ulipenda hukuona hlo......mapenz bwana,ndio maana wengne mademu na wengne sabun.
 
Daaaaaah! Naona ndo umeanza na mkwara kabisa wa kuniita "Bwana mdogo". Tatizo baba alichelewa kuninunulia PC ndo maana nilichelewa kujiunga JF. Sawa bwana mkubwa, nimekuelewa.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Nafikiri sio rahisi kuifuta hii tabia JF, hasa kwa wanaojiita wakongwe!! Naona leo mkuu umesalim amri yao, though hata mi siipendi but they say if you cant beat them then join them!!
 
Ukiona hivo ujue jamaa alisettle for less than what he desire ss anatafta mahal pa kujifarijia jst ignore him coz ni wrong decision zake zinazomcost
 
dawa nzuri sana hii!hawezi kukufanya wewe ngazi!akuanzae mmalize,dawa ya moto ni moto!kama noma na iwe noma,usikubali,revenge!
Dawa ya moto ni moto. Kama unampenda na anakutafuta mkubalie ubinjuke kwa raha zako. Hakikisha mpaka mkewe anajua ili ampige chini. Akishapigwa chini na mkewe nawe unampiga chini.

Nlishamfanyiaga shori mmoja enzi hizo aliponifanyia unaa kama huu.
 
Dawa ya moto ni moto. Kama unampenda na anakutafuta mkubalie ubinjuke kwa raha zako. Hakikisha mpaka mkewe anajua ili ampige chini. Akishapigwa chini na mkewe nawe unampiga chini.

Nlishamfanyiaga shori mmoja enzi hizo aliponifanyia unaa kama huu.

Strategy yako nimeipenda!
 
pole sana huyo hakuwa wako, inawezekana angekuoa angekuumiza zaidi maana anaonekana hajatulia, cha kufanya ni wewe kutulia na kumuomba Mungu akupe Mume wako, hauna haja ya kujibu simu zake wala mails zake, na usije ukaamua kuwa na uhusiano na mwanaume mwingine wakati hujapona majeraha itakuwa humtendei haki huyo mwanaume mwingine, tafuta kwanza uso wa Mungu yafanye yanayompendeza mengine utazidishiwa. Believe me utasahau na atatokea atakayekupenda kweli itafika muda utasema where was this man all the time, ila Mungu kwanza ndo suluhisho, mana wote ni wakosaji lakini yeye ni mwingi wa rehema anasamehe na kusahau na ansema katika neno lake ANAJUA MAWAZO ANAYOTUWAZIA SISI NI MEMA WALA SI MABAYA. MUNGU AKUTIE NGUVU
 
Hayatuhusu. Pelekea umbeya wako kwenye majukwaa mengine. siyo humu ndani. Kama huna cha kuandika, tulia kimya, nyamaza kabisa kabisa. Soma michango ya watu wengine. Unajiabisha tu hapa ndani.

Mwanamalundi you sound kama huyo dada aliyekuja kuolewa baada ya kuona mwanamke wa ukweli smartlady ameshamng'arisha huyo bwana. Ni maoni tu, huyo kaka na mkewe wanachuma ulete juu yako smartlady, keep yourself distant.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…