uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Taarifa za awali kabisa ni kwamba Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba SC imemfuta kazi Kocha Mkuu wa Klabu hiyo Didier Gomes Da Rosa kutokana na kushindwa kuisaidia klabu hiyo kufuzu makundi ya klabu bingwa Afrika (CAF Champion League).
Kwa sasa kikosi hicho kitakuwa chini ya Kocha Hitimana Thierry, taarifa zaidi kukujia.✍
Kwa sasa kikosi hicho kitakuwa chini ya Kocha Hitimana Thierry, taarifa zaidi kukujia.✍