Inaonesha sababu ya Putin kuishambulia Ukraine si kujiunga NATO

Inaonesha sababu ya Putin kuishambulia Ukraine si kujiunga NATO

Baada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. Kwanini?

Putin ni mtu muongo muongo sana. Putin anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu ku-justify uvamizi.

Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?
Huyajui mazingira ya Ukraine na Urusi yalivyo!! Ukkraine ilikuwa inaandaliwa kijeshi tangu 2014 kuja kuivamia urusi!! Wamekuwa wakipewa silaha kali na mafunzo tangu hiyo 2014, na lilikuwa ni suala la muda tu!! Ilikuwa inaandaliwa kuivamia urusi kwa maana ya kutaka kuikomboa Crimea ambayo iliamua kujiunga na Urusi. Hayo ni mazingira tete!! Ililazimu Urusi kuivamia ukraine ili kuvuruga mipango hiyo. Finland na Sweeden kujiunga na NATO bado ni tishio kwa Urusi lakini si moja kwa moja kama Ukraine ambayo vita yake na Urusi ilikuwa haiepukiki.
 
Huyajui mazingira ya Ukraine na Urusi yalivyo!! Ukkraine ilikuwa inaandaliwa kijeshi tangu 2014 kuja kuivamia urusi!! Wamekuwa wakipewa silaha kali na mafunzo tangu hiyo 2014, na lilikuwa ni suala la muda tu!! Ilikuwa inaandaliwa kuivamia urusi kwa maana ya kutaka kuikomboa Crimea ambayo iliamua kujiunga na Urusi. Hayo ni mazingira tete!! Ililazimu Urusi kuivamia ukraine ili kuvuruga mipango hiyo. Finland na Sweeden kujiunga na NATO bado ni tishio kwa Urusi lakini si moja kwa moja kama Ukraine ambayo vita yake na Urusi ilikuwa haiepukiki.
Mkuu tupe source ya hizi claim kama hutajali .
 
Baada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. Kwanini?

Putin ni mtu muongo muongo sana. Putin anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu ku-justify uvamizi.

Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?
Uko sahihi kabisa
Screenshot_20220822-113406_Twitter.jpg
 
Baada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. Kwanini?

Putin ni mtu muongo muongo sana. Putin anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu ku-justify uvamizi.

Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?
Ndio Marekani na ulaya wanamfanyia inda sana baada ya kumjua kwamba kazi yake ni ndaro wamemjua udhaifu wake kila idara
 
Kuna mtaalamu mmoja aliwahi kusema,
Style ya kirusi kwenye negotiation table haijabadilika Toka enzi za Muscovy.

Wataanza na vitu vichache, mkishindwa kukubaliana.
Walianza na kutaka:
1) Ukraine wasijiunge NATO
2)Kuitambua Crimea kuwa sehemu ya Urusi.
3)Kuyapa autonomy majimbo ya Luhansk na Donetsk kifupi waunde Federation.
Mazungumzo yalifanyika Belarus

Ujue the second round wataongeza mahitaji, msipokubaliana
Angalia:
1) wasijiunge NATO
2)Kuitambua Crimea
3)kuyatambua majimbo yaliyo jitenga kuwa nchi huru.
4)Denazification
5)Kuirudisha lugha ya Kirusi kuwa lugha rasmi.

Third round Hali itazidi kuwa mbaya, hivyo ni Bora kulimaliza mnapoanza meza ya mazungumzo.
Wameongeza Sasa sio tu Luhansk na Donetsk, Sasa Kherison imeenda, Odessa itaenda yaani watapoteza eastern na south, kutokuwa na access ya bahari.

Sasa Vladimir Vladirmovich Putin anasema wanapigania ardhi yao ya asili, maana yake kuna possible ya huo upande kuja kuunganishwa na Urusi siku Moja.
Kwa kuwa kinachopigana ni watu, bila Shaka watu wanakufa itafikia siku, wataaacha kufanya huu unyama wanaofanya leo. Putin ni dikteta mpuuuzi wa miaka hii ya 2000
 
Baada ya Finland na Sweden ku apply kujiunga NATO tulitegemea Putin aje na vitisho vile vile dhidi ya ukrain, lakini kanywea. Kwanini?

Putin ni mtu muongo muongo sana. Putin anaitamani ukrain, angependa iunganishwe na Russia, ni vivyo hivyo kwa Moldova. Sababu ya kuingia kupiga mabomu ukrain eti kujiunga NATO imetumika tu ku-justify uvamizi.

Haya sasa kuna waliopeleka maombi rasmi mbona ka mute?
Kwa taarifa yako...taifa la urusi lilianzia Ukraine. Kiev. Wajue warusi kwanza. Kwa kukurahisishia tafuta kitabu kinaitwa The Thirteenth tribe
 
Back
Top Bottom