Inapendeza kwa viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao kwenye ziara maalumu kuepusha yaliyotokea Bolivia

Inapendeza kwa viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao kwenye ziara maalumu kuepusha yaliyotokea Bolivia

Gift mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2019
Posts
1,856
Reaction score
2,417
Ni maoni yangu tu sijui Kama liko kikatiba.

Ila inapendeza viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao wanapokuwa ziara maalumu ya ndani na nje kitaifa.

Pia ikizingatiwa pia kwenye nchi Fulani walipitisha Hadi mafao ya wenzi wa viongozi wakubwa kwa sababu wanaacha shughuli zao ili wawe karibu nao.

Sina mashaka na maadili ya baadhi ya viongozi wakubwa Ila ni vizuri kuepusha mazingira ambayo yanaweza kuleta skendo zisizo na muhimu na kuchafua viongozi wetu.

Pia tukumbuke viongozi wetu wanawakilisha wananchi wao kwa hiyo uwakilishi wowote uwe mzuri au mbaya utahusu wawakilishwa pia.
 
Ni maoni yangu tu sijui Kama liko kikatiba
Ila inapendeza viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao wanapokuwa ziara maalumu ya ndani na nje kitaifa

Pia ikizingatiwa pia kwenye nchi Fulani walipitisha Hadi mafao ya wenzi wa viongozi wakubwa kwa sababu wanaacha shughuli zao ili wawe karibu nao

Sina mashaka na maadili ya baadhi ya viongozi wakubwa Ila ni vizuri kuepusha mazingira ambayo yanaweza kuleta skendo zisizo na muhimu na kuchafua viongozi wetu

Pia tukumbuke viongozi wetu wanawakilisha wananchi wao kwa hiyo uwakilishi wowote uwe mzuri au mbaya utahusu wawakilishwa pia
Waache wawe huru ili wafaidi matunda ya Uhuru wao.
 
Waache wawe huru ili wafaidi matunda ya Uhuru wao.
Tena kwa sisi tunaopenda kula kula, ili ufaidi, ni muhimu from time to time kubadili mboga!. Baadhi ya wapishi wa makabila
Fulani
Fulani
Kama
Tanga, Zanzibar na ukanda wa Pwani, wanafunzwa kupika mapishi tofauti tofauti hivyo kupika mboga tofauti tofauti mtu huna haja kubadili mboga, tena Wazarama na Wadengereko, wafundishwa hata jinsi ya kuyapanga mafiga matatu!, kwa kwenda kozi fupi fupi za ubingwa wa mapishi kwa waalimu mabingwa!
Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
p
 
Tena kwa sisi tunaopenda kula kula, ili ufaidi, ni muhimu from time to time kubadili mbogo!. Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
p
Mkuu ukishakuwa kiongozi mkubwa nafikiri hata kula yako Kuna maadili huwezi kula tu ovyo ovyo
Labda utengeneze drama Kama zile za muuza mahindi na kahawa mwenye bastola kiunoni
Au yule muuza madafu wa ikulu

Kama unamanisha kula nyingine ni vizuri uwe mvumilivu tu ule matunda ya mti wako kwa muda wa uongozi
 
Ni maoni yangu tu sijui Kama liko kikatiba.

Ila inapendeza viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao wanapokuwa ziara maalumu ya ndani na nje kitaifa.

Pia ikizingatiwa pia kwenye nchi Fulani walipitisha Hadi mafao ya wenzi wa viongozi wakubwa kwa sababu wanaacha shughuli zao ili wawe karibu nao.

Sina mashaka na maadili ya baadhi ya viongozi wakubwa Ila ni vizuri kuepusha mazingira ambayo yanaweza kuleta skendo zisizo na muhimu na kuchafua viongozi wetu.

Pia tukumbuke viongozi wetu wanawakilisha wananchi wao kwa hiyo uwakilishi wowote uwe mzuri au mbaya utahusu wawakilishwa pia.
Dokeza basi kimetokea nini huko Bolivia
 
Ni maoni yangu tu sijui Kama liko kikatiba.

Ila inapendeza viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao wanapokuwa ziara maalumu ya ndani na nje kitaifa.

Pia ikizingatiwa pia kwenye nchi Fulani walipitisha Hadi mafao ya wenzi wa viongozi wakubwa kwa sababu wanaacha shughuli zao ili wawe karibu nao.

Sina mashaka na maadili ya baadhi ya viongozi wakubwa Ila ni vizuri kuepusha mazingira ambayo yanaweza kuleta skendo zisizo na muhimu na kuchafua viongozi wetu.

Pia tukumbuke viongozi wetu wanawakilisha wananchi wao kwa hiyo uwakilishi wowote uwe mzuri au mbaya utahusu wawakilishwa pia.
Ila wenzi wengine utulivu F, ni chanzo cha stress, (mawazo hadi bichwa liumwe), akianza kuongea utadhani kiredio, viongozi wa kitaifa hawatakiwi wawe na strss ili waweze kutimiza majukumu yao ipasavyo
 
Mkuu ukishakuwa kiongozi mkubwa nafikiri hata kula yako Kuna maadili huwezi kula tu ovyo ovyo
Labda utengeneze drama Kama zile za muuza mahindi na kahawa mwenye bastola kiunoni
Au yule muuza madafu wa ikulu

Kama unamanisha kula nyingine ni vizuri uwe mvumilivu tu ule matunda ya mti wako kwa muda wa uongozi
Kwahiyo ukiona vinonozi hakunazi kulazi, hivi ni nchi gani walianza kuyatumia magari ya tinted
 
Back
Top Bottom