Inapendeza kwa viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao kwenye ziara maalumu kuepusha yaliyotokea Bolivia

Inapendeza kwa viongozi wa kitaifa kuwa na wenzi wao kwenye ziara maalumu kuepusha yaliyotokea Bolivia

Hapa bila shaka dhima kuu ni pale kati ambapo uzao unatokea.

na Bolivia itakuwa ni bongo hapahapa.
 
Mapaparazi Kila mahali mkuu
MWISHO kiongozi akibanwa na skendo atauza Rasilimali za nchi kujiokoa
Maadili kwanza
Gesi, hili nalo yaani gesi tunayo halafu tunanunu gesi nje? Hivi ule wimbo wa baba na mwana wanaimba na kucheza bado unapendwa kama zamani?
 
Kwani hivyo vyakula hatuwezi kula akiwrpo mke au mme
P akujibu kweli
Ila wenzi wengine utulivu F, ni chanzo cha stress, (mawazo hadi bichwa liumwe), akianza kuongea utadhani kiredio, viongozi wa kitaifa hawatakiwi wawe na strss ili waweze kutimiza majukumu yao ipasavyo
Kwani ulivyomchagua ulilazimishwa mkuu
 
Hivi mwandishi nikikwambia wewe ni mpuuzi ntakosea?

Unatupa attention ya kujua bolivia kulitokea nini hlf hakuna kitu

Pumbavu
 
P akujibu kweli

Kwani ulivyomchagua ulilazimishwa mkuu
Juzi nilkuwa najiuliza hawa warembo ile voice note anayo kuwa nayo wakati ule unapo mvunjia barafu mbona inakuwa haina muendelezo? Inapotea ghafula why?, That kindness, soft voice and slow movements and pauses vanish in a thin air drastically
 
Hivi mwandishi nikikwambia wewe ni mpuuzi ntakosea?

Unatupa attention ya kujua bolivia kulitokea nini hlf hakuna kitu

Pumbavu
Kama ni me Basi ni hasara kubwa
Jikite kwenye hoja ya msingi Kama Me kamili
 
Inapendeza pia kwa viongozi wa kitaifa kutunza kauli zao, ila pia humu jf tunapiga kazi kwa kushauri, je ushauri unawafikia?
 
Unamaanisha huyo raisi wa Bolivia alifumaniwa? Sheria za Bolivia zinaruhusu raisi kufumaniwa? Hizo zitakuwa sheria mbovu sana. Sisi sheria zetu haziruhusu kufumania viongozi wakuu wa nchi yetu. Wako na immunity ya kisheria.


View: https://youtu.be/WymEQ695nEg?si=0FIWCgoOc2I_oyhr

Mleta mada atutafisilie ni wapi hapo wamesema amejiuzulu kwa sababu ya fumaniwa? Hakuna, aache uwongo.
 
Mzee Hana shida , nafikiri anakuwepo labda hapendi kujionyesha
Watu wengi wanazani kwamba kila mtu mwenye authority anapenda cameras, lakini kumbe si vyoo,kuna wengi tu wanapenda kufanya mambo yao nyuma ya cameras!!
 
Back
Top Bottom