Inasemekana alipotekwa Nondo kuna CCTV Camera, pia simu ya moja ya watekaji ilianguka na imekabidhiwa polisi. Je, watakamatwa?

Inasemekana alipotekwa Nondo kuna CCTV Camera, pia simu ya moja ya watekaji ilianguka na imekabidhiwa polisi. Je, watakamatwa?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Inasemekena eneo alilotekewa Nondo kuna CCTV Camera inayorekodi matukio eneo hilo, lakini pia katika purukushani za patashika nguo kuchanika simu ya moja ya watekaji ilianguka chini, na hivyo vyote amepewa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.

Wakuu hii ina maana wasiyojulikana kwa mara nyingine watajulikana, na ni suala la muda tu kama kuna hata mmoja alifanikiwa kurekodi tukio hilo video zitaanza kusambaa.

Pia soma: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Swali la muhimu ni kwamba tutaona watu hawa wakifikishwa kwenye mikono ya sheria, au Jeshi la Polisi litatulia bati kama ilivyokuwa kwenye utekaji wa bonge ambako wameshindwa hata kutoa majina tu ya wale watekaji wakati picha zao zinaonekana!

Au ndio ataambiwa tena kuwa alijiteka, walikuja ndugu zake wakafanya igizo! Ila polisi wa TZ mna sehemu yenu mbinguni kwa sir God!
 
Wakuu,

Inasemekena eneo alilotekewa Nondo kuna CCTV Camera inayorekodi matukio eneo hilo, lakini pia katika purukushani za patashika nguo kuchanika simu ya moja ya watekaji ilianguka chini, na hivyo vyote amepewa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.

Wakuu hii ina maana wasiyojulikana kwa mara nyingine watajulikana, na ni suala la muda tu kama kuna hata mmoja alifanikiwa kurekodi tukio hilo video zitaanza kusambaa.

Swali la muhimu ni kwamba tutaona watu hawa wakifikishwa kwenye mikono ya sheria, au Jeshi la Polisi litatulia bati kama ilivyokuwa kwenye utekaji wa bonge ambako wameshindwa hata kutoa majina tu ya wale watekaji wakati picha zao zinaonekana!
Hivi mbona tumekuea wagumu kuelewa ? Watekaji ni tiss....wana order kuteka na kufanya watakalo......hakuna wa kuwagusa....hata ukiweza kumjua jaitakusaidia sheria mpya Tiss imawalinda.....kwa lolote.....tulie na mfumo mbovu kutawala kwa damu za watu....dunia nzima hakuna mtawala wala dictactor alieweza kunyamazisha umma na haki.....hao ni Tiss wako kazinimkuu......mbona kama hatuelewiiii
 
Polisi inapodeal na matawi menzake toka CCM .
images (6).jpeg
 
Wakuu,

Inasemekena eneo alilotekewa Nondo kuna CCTV Camera inayorekodi matukio eneo hilo, lakini pia katika purukushani za patashika nguo kuchanika simu ya moja ya watekaji ilianguka chini, na hivyo vyote amepewa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.

Wakuu hii ina maana wasiyojulikana kwa mara nyingine watajulikana, na ni suala la muda tu kama kuna hata mmoja alifanikiwa kurekodi tukio hilo video zitaanza kusambaa.

Swali la muhimu ni kwamba tutaona watu hawa wakifikishwa kwenye mikono ya sheria, au Jeshi la Polisi litatulia bati kama ilivyokuwa kwenye utekaji wa bonge ambako wameshindwa hata kutoa majina tu ya wale watekaji wakati picha zao zinaonekana!

Ishatoka hiyo baba, watekaji wa Deo wa Kiluvya wapo wapi? Inajulikana wabongo wanatongea siku 2 au 3 watanyamaza maisha yataendelea. Critical point kwa sasa ni hatua wakati anatekwa mtu, wakishapotea ndio basi tena!
 
Wakuu,

Inasemekena eneo alilotekewa Nondo kuna CCTV Camera inayorekodi matukio eneo hilo, lakini pia katika purukushani za patashika nguo kuchanika simu ya moja ya watekaji ilianguka chini, na hivyo vyote amepewa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.

Wakuu hii ina maana wasiyojulikana kwa mara nyingine watajulikana, na ni suala la muda tu kama kuna hata mmoja alifanikiwa kurekodi tukio hilo video zitaanza kusambaa.

Swali la muhimu ni kwamba tutaona watu hawa wakifikishwa kwenye mikono ya sheria, au Jeshi la Polisi litatulia bati kama ilivyokuwa kwenye utekaji wa bonge ambako wameshindwa hata kutoa majina tu ya wale watekaji wakati picha zao zinaonekana!

Au ndio ataambiwa tena kuwa alijiteka, walikuja ndugu zake wakafanya igizo! Ila polisi wa TZ mna sehemu yenu mbinguni kwa sir God!
Walikosea kupeleka kituo cha polisi
 
Wakuu,

Inasemekena eneo alilotekewa Nondo kuna CCTV Camera inayorekodi matukio eneo hilo, lakini pia katika purukushani za patashika nguo kuchanika simu ya moja ya watekaji ilianguka chini, na hivyo vyote amepewa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.

Wakuu hii ina maana wasiyojulikana kwa mara nyingine watajulikana, na ni suala la muda tu kama kuna hata mmoja alifanikiwa kurekodi tukio hilo video zitaanza kusambaa.

Swali la muhimu ni kwamba tutaona watu hawa wakifikishwa kwenye mikono ya sheria, au Jeshi la Polisi litatulia bati kama ilivyokuwa kwenye utekaji wa bonge ambako wameshindwa hata kutoa majina tu ya wale watekaji wakati picha zao zinaonekana!

Au ndio ataambiwa tena kuwa alijiteka, walikuja ndugu zake wakafanya igizo! Ila polisi wa TZ mna sehemu yenu mbinguni kwa sir God!
NI unyama unatendeka mbele ya vyombo vya dola
 
Wakuu,

Inasemekena eneo alilotekewa Nondo kuna CCTV Camera inayorekodi matukio eneo hilo, lakini pia katika purukushani za patashika nguo kuchanika simu ya moja ya watekaji ilianguka chini, na hivyo vyote amepewa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.

Wakuu hii ina maana wasiyojulikana kwa mara nyingine watajulikana, na ni suala la muda tu kama kuna hata mmoja alifanikiwa kurekodi tukio hilo video zitaanza kusambaa.

Pia soma: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Swali la muhimu ni kwamba tutaona watu hawa wakifikishwa kwenye mikono ya sheria, au Jeshi la Polisi litatulia bati kama ilivyokuwa kwenye utekaji wa bonge ambako wameshindwa hata kutoa majina tu ya wale watekaji wakati picha zao zinaonekana!

Au ndio ataambiwa tena kuwa alijiteka, walikuja ndugu zake wakafanya igizo! Ila polisi wa TZ mna sehemu yenu mbinguni kwa sir God!
Huko walipo peleka wameisha
 
Tunakaa pembeni ya polisi na bado tunaibiwa,
Kama sisi sio wezi basi malizia 😏
 
Watasema simu ilipodondoka ilivunjika na kusambaratika na laini ilipotea na haitengenezeki hivyo haina msaada wowote katika kuwapata hao maharamia.
 
Wakuu,

Inasemekena eneo alilotekewa Nondo kuna CCTV Camera inayorekodi matukio eneo hilo, lakini pia katika purukushani za patashika nguo kuchanika simu ya moja ya watekaji ilianguka chini, na hivyo vyote amepewa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Magufuli.

Wakuu hii ina maana wasiyojulikana kwa mara nyingine watajulikana, na ni suala la muda tu kama kuna hata mmoja alifanikiwa kurekodi tukio hilo video zitaanza kusambaa.

Pia soma: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Swali la muhimu ni kwamba tutaona watu hawa wakifikishwa kwenye mikono ya sheria, au Jeshi la Polisi litatulia bati kama ilivyokuwa kwenye utekaji wa bonge ambako wameshindwa hata kutoa majina tu ya wale watekaji wakati picha zao zinaonekana!

Au ndio ataambiwa tena kuwa alijiteka, walikuja ndugu zake wakafanya igizo! Ila polisi wa TZ mna sehemu yenu mbinguni kwa sir God!
Yaani kesi ya nyani unampelekea ngedere! Kwani wale wahuni waliotaka kumteka yule Bonge unafikiri hawajulikani walipo!! Walitaka kumuua Tundu Lissu inafikiri hawafahamiki!!!

Mimi nadhani kila jambo lina mwisho wake. Ngoja watu waendelee tu kutekwa, kuteshwa na kuuwawa. Siku watakapo amka kutoka usingizi wao wa pono, kitaeleweka tu.
 
Back
Top Bottom