Inasemekana bifu zito kati ya Mtendaji wa Shirikisho na Mmiliki wa Tabora United ndio sababu ya kucheza pungufu

Umejuaje kama kamati haitakuja na adhabu kwa Kitayoce kwa uzembe walioufanya?
 
Tff walikua wanalijua hili mapema walishindwa nn kuhairisha Mechi kwa kutumia busara tu,
Yaani TFF wakimbilie tu kuahirisha mechi wakati timu husika zipo tayari kuingiza vikosi na kucheza? Mbona mnajidai mnajua zaidi wakati mpo weupe kichwani? Unadhani Kitayosce walikuwa hawajui taratibu za kuahirisha mechi? Mbona mnawasemea wakati wao wanaona njia waliyotumia ni nzuri zaidi kuliko zote, na wala hawalalamiki?
 
Kwa issue ya jana karia amejivua nguo,
WAMEONEWA TU🙏

"Kuna team wachezaji wake 16 walipata mafua mechi ikaahirishwa wakati walikua na wachezaji 25 ukitoa 16 wanabaki 9 leo wachezaji 8 wameweza kucheza mechi ila 9 haiwezekani hii ndio TFF YA KARIA ligi yetu kivyetu vyetu"

NB: na bila aibu walikuwa wameendaa na watu wao wa kuongea kwenye media mchezo ukishindwa kumalizika 😅
 
TFF sijui wanafikiri vipi. Ilitakiwa mechi kuahirishwa bila kujali Tabora utd wamefungiwa na FIFA.
Yaani katika posts zote ya kwako ndio Ina mantiki kweli kweli. Wengine hawajui hata kosa ni nini wanailaumu TFF. Hawajui kuwa kosa ni Kitayose FC kushindwa kuwalipa wachezaji wake Asante Kwasi na mwenzake licha ya kupewa miezi minne wawe wamelipa. Na adhabu ya FIFA kwa kosa Hilo ni kufungwa usajili. Period!

Tunachoweza kuwalaumu TFF kama ulivyosema ni kwanini hawakuahirisha hiyo mechi?
 
Maana ake ziboreshwe zaidi
 
Kumbe wewe ni Oscar Oscar!
 
Mpe credit zake oscar oscar haya maneno si yako kayasema yeye

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…