uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,467
- 916
Sasa msanii wa kimataifa anashushwaje na Radio ya Ndani?
Labda we ndo utwambie diamond ana wimbo gani ulio hot hivi sasa alafu haupigwi ndo tujilidhishe? Je umeshasikiliza na radio nyingine kuona kama wanapiga nyimbo zake mara kwa mara? Hivi kwan clouds siku hizi ina manage wasanii? Mameneja wa wasanii ni babu tale, mkubwa fela ,ustadh n.k. sijawahi kusikia Ruge au Kusaga waki-manage wasanii. THT yenyewe Ruge ni mlezi tena wanajihusisha na wasanii wachanga ukimkuta msanii mkubwa basi ujue kakulia pale.
Fiesta kampuni ya serengeti ndo inayolipa wasanii moja kwa moja. Na hapo anayepatana ni Babu Tale wala sio Diamond.
Huwapa kick wasanii wengine kama njia ya kuongeza ushindani wala sio dhambi kwan inawafanya wasanii walioko juu kujituma zaidi na zaidi.
Muhimu unachotakiwa kuelewa Diamond wimbo wake wa mwisho ku-heat ni mdogomdogo toka hapo anatoa pumba tu matokeo yake hazimalizi miezi 2 kwenye soko zishachuja.
Labda we ndo utwambie diamond ana wimbo gani ulio hot hivi sasa alafu haupigwi ndo tujilidhishe? Je umeshasikiliza na radio nyingine kuona kama wanapiga nyimbo zake mara kwa mara? Hivi kwan clouds siku hizi ina manage wasanii? Mameneja wa wasanii ni babu tale, mkubwa fela ,ustadh n.k. sijawahi kusikia Ruge au Kusaga waki-manage wasanii. THT yenyewe Ruge ni mlezi tena wanajihusisha na wasanii wachanga ukimkuta msanii mkubwa basi ujue kakulia pale.
Fiesta kampuni ya serengeti ndo inayolipa wasanii moja kwa moja. Na hapo anayepatana ni Babu Tale wala sio Diamond.
Huwapa kick wasanii wengine kama njia ya kuongeza ushindani wala sio dhambi kwan inawafanya wasanii walioko juu kujituma zaidi na zaidi.
Muhimu unachotakiwa kuelewa Diamond wimbo wake wa mwisho ku-heat ni mdogomdogo toka hapo anatoa pumba tu matokeo yake hazimalizi miezi 2 kwenye soko zishachuja.