General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Hata kama ni kweli mkuu, sasa wote tukikaa ushuani, zile raha za Kwamtogole atazipata nani?Hamna ukweli wowote
Jee na vijana wengi wa humu tuwaitaje? maana comment za wengi wao ni kama 'mwanjo mwanjo'Inasemekana eeetii mademu wengi humu JF ni wa uswazi, wakina Mwajuma Nikome.
Hii inatokana na post zao na comments zao.
Madem wa geti kali hawaijui JF wao wapo insta, fesibuku na twita.
Miss Natafuta, Shunie
Ingawaje mi naju wewe ni waushuaniHata kama ni kweli mkuu, sasa wote tukikaa ushuani, zile raha za Kwamtogole atazipata nani?
Haswa huyu star and queen wa jf Faiza FoxyInawezekana mana wanamineno michafu....
Atapita huku jiandaeHaswa huyu star and queen wa jf Faiza Foxy
Mbona povu jingi?Ndiyo maana ya hii kuitwa community, wa uswaz wanajifunza ya ushuani na vice versa. Dhambi ya kubaguana mkiianzisha haitaishia hapa.
HahahahaLakini kweli.sijawahi ona hata mmoja akitualika birthday yake humu.
Kwani hili jukwaa unalionaje?mwanaume umekaa ukaandika ujinga huu.. halafu ni wa ushuani.. hasara hiyo
HahahahahaHata kama ni kweli mkuu, sasa wote tukikaa ushuani, zile raha za Kwamtogole atazipata nani?