Inasemekana hii ni First 11 ya Magalasa kuwahi kutokea Msimbazi

Inasemekana hii ni First 11 ya Magalasa kuwahi kutokea Msimbazi

Leo Chirwa na Zulu wamefunga ngapi?Mechi iliishaje niliacha Yanga anaongoza magoli 2 kipindi cha kwanza.
 
Kama ukumbuki nenda Chamanzi pale.

Muite chemba.... Muulize hivi ule mpira wa nyonga uliotaka kukufanya uache soka ulipigwa na nani...? na uliingia wapi?

Hawezi kusahau.... atakuwa anakumbuka vyema... [emoji23]
ikawaje sasa akakimbia mwenyew katkat ya msim?? au kile kibanda chake cha matikiti kule brazil kilivunjwa akaenda kukinusuru???
 
ikawaje sasa akakimbia mwenyew katkat ya msim?? au kile kibanda chake cha matikiti kule brazil kilivunjwa akaenda kukinusuru???

Tulitaka kuwa bora zaidi.... Alisoma namba akaona hana mda hapa.... Akaenda kutafuta marisho kwingine..

Aloshaambiwa kuwa Yanga ni timu ya kimataifa.... Licha ya kuwa alikuwa anawabangua mabao lakini tulihitaji uwezo wa juu zaidi... Kama ule wa akina Amis Tambwe...


Nadhani unaijua kazi ya Tambwe.. Sihitaj kukusimulia mengi kuhusu yeye... [emoji23]
 
Leo Chirwa na Zulu wamefunga ngapi?Mechi iliishaje niliacha Yanga anaongoza magoli 2 kipindi cha kwanza.
Mbona hauja mtaja Tambwe, Ngoma na akina Kamusoko......?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Au hao wamefunga?

Naona bado unaugua ugonjwa wa Yangaphobia....

Usiogope kuwataja bhana!!!!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ugonjwa huo wa obsession na Simba unao wewe. Umeona nimeanzisha topic yeyote kuhusu
 
Ugonjwa huo wa obsession na Simba unao wewe. Umeona nimeanzisha topic yeyote kuhusu
Migongo wazi .Timu mbovu. Hivi mechi iliishaje mbona hutupi matokeo ya jana?Huwa una kiherehere sana kudakia zisizokuhusu.
 
Rawlence kazumali bonge la mtu guu guu kama winga beki lazima ukae kama beki winga labda upite juu wanaomkumbuka watamalizia.
 
Vipi Mkude na Ajib wamesaini?Si ulituambia wananukia kutua kwa migongo wazi?Au harufu imeishia chooni?
 
Nasmakadogo naona umeandika kiswahili. Kisambaa kinawapa watu shida.
 
Back
Top Bottom