Judith.with due respect.umegoma kabisa.hahahahaha
Duh!
Salama lakini?
Haahahaaaa kuna usalama mia kwa mia! kama jeshi la marekani!!! ila hua wananisaidia tu dada yao akiwa mgonjwa au akisafiri!!
Nilijua tu........
Kaka nitupie mmoja basi, bado natafuta:teeth: