Inasemekana Ivan the Don hajafa

Inasemekana Ivan the Don hajafa

1496270582454.png
 
Dola 500m hazitapeliwi kirahisi hivyo. Halafu hao wamarekani walikuja kununua madini bila kufanya lab analysis hadi wafike kwao wagundue madini feki? Au unataka kusema hawajui kazi za kina Alex Stewart? Utapeli wa madini ni kwa wale wanaonunua mizigo midogo midogo tena kienyeji lakini sio kwa mzigo wa $500m lazima waje na mashine zao za kupimia wajiridhishe au watumie makampuni makubwa kama Alex Stewart na SGS
 
Story za kwenye kahawa sasa hizo ..kwani asife ye Nani kifo hicho hicho kilimchukua steve jobs akaacha pesa zake zote.,wana kwamba ukiwa hai unaweza kumiriki hata nusu ya ardhi ya duniani lakini ukisha kufa unamiriki kisehemu kidogo tu cha kutosha kaburi lako milele.
 
Kama amekufa au hajafa inakusaidia nini? Does it bring food on your table?
Nigga please
 
2pac tuliambiwa hajafa, MJ yukasikia hivyohivyo hajafa, akaja Kanumba tukaambiwa hajafa ma sasa duru zinasema Don yupo hai.

Kufunua jeneza au kutofunua sio sheria na haitoshi kuhitimisha kwamba hajafa. Binagsi sikumbuki kuona jeneza la MJ wala Whitney kufunguliwa, waliobahatika wataleta mrejesho.
 
Ndio yupo hai.Kuna tetesi kaenda kujibadilisha sura na muonekano na atarudi vingine.[HASHTAG]#Free[/HASHTAG] Mason
 
Mleta mada ucha uzushi,hivi madini ya 1trillion unadhani wanauziana kiengeji kweli??angalia kontena 270 za makinikia na bado hazijafikisha huo mpunga
 
Back
Top Bottom