Inasemekana Ivan the Don hajafa

Mkuu naomba na mie maujanja ya kukesha JF, aisee nakuona hapa uli reply saa saba kasoro usiku wa leo. hahahahahaha. Safi sana. JF ina wenyewe na wenyewe ndio akina Ushimen
Ohoooo.......
Humu jf nirahisi sana kujua member ambae yupo single, maana hiyo mida unayo isema ni mida ya uumbaji pale kitandani..[emoji13] [emoji13]
 
Ohoooo.......
Humu jf nirahisi sana kujua member ambae yupo single, maana hiyo mida unayo isema ni mida ya uumbaji pale kitandani..[emoji13] [emoji13]
😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛😛
 
Hivi wewe ulieandika ukiitwa na hao wamerekani uwapeleke aliko, na ukatoe ushahidi utasema nini?
 
Sasa kama amekufa hajafa anafaida gani kwetu sisi wa Tanzania .Acheni kuleta habari zisizo nakichwa wala miguu humu JF
 
Dunia simama nishuke,mwendokasi umenishinda.
 
Ndio maana wale watoto wakawa wakavu vile ,yaani hata sura za majonzi walikuwa hawana
Tangu afariki trh 25 picha za watoto zimekuja kuonekana I think 28 au 29, na taarifa inasema watoto walipata Counseling ya nguvu,jiulize siku zote hizo hawakulia? Au ulitaka uone kwenye picha wakilia? Tumwogope Mungu Kwani huwezi jua machungu waliyokuwa nayo awali,yawezekana walipitia machungu mengi hadi wakaa sawa.

By the way kwenye msiba wa baba yangu mdogo wangu alikuwa akizimia Mara kwa Mara ikabidi mila itumike believe me hadi tunazika alikuwa hana hata habari kama kafiwa na aliaga mwili hata chozi hakutoa. Huwezi jua mkuu
 
Kajibalali! Kafa ! Kafariki ! Atayajua yeye mwenyewe !!
 
Kapicha ka Ivan akiwa hajafa[emoji12] [emoji12] [emoji12] , hata km n siri sasa tutaaminije?
Aaaaah kumbe!!! nilifikiri akiwa amejificha huko kwenye Nchi alikokimbilia sijui ni uvunguni mwa kitanda au machakani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…