Inasemekana kutembeatembea kwenye Mawe au kokoto ni Tiba nzuri Ya viungo vya mwili

Kwa kutumia mkeka tiba wa reflexology mat unaweza kuondoa maumivu ya mwili, kuimarisha mzunguko wa damu, na kuboresha ustawi wa mwili wako.

▪️Utakusaidia kuondoa maumivu ya mgongo, shingo, na miguu.

▪️Utakuwezesha kupunguza hisia za miguu kuwaka moto na maumivu.

▪️Utakusaidia kunyoosha na kuweka uti wa mgongo wako katika hali nzuri.

▪️Utaweza kuongeza nguvu ya misuli ya miguu, kupunguza hatari ya maumivu na ganzi.

▪️Pia utakusaidia kuzuia kujitokeza kwa maumivu ya mgongo, ganzi kwenye miguu.

▪️ Pia utakupa kuimarisha afya ya ubongo katika kuongeza mzunguko wa damu kwenye ubongo.

▪️ Utakusaidia kunyoosha na kuweka uti wa mgongo wako katika hali nzuri na kuzuia maumivu na matatizo ya mgongo.
 

Attachments

  • images (17).jpeg
    47.8 KB · Views: 7
Uko Chaka wewe mwenyewe na ujuaji wako ...kifupi Ile muundo ya misuli ya mguu kwa chini (kwenye nyayo) Iko sawa na viungo vya ndani kuanzia kifuani hadi tumboni .hivo Ili uweze kuvumassage hizo muscle lazima ukanyage rough surface Ili upate Raha and you will feel it ..na ziko pavement special kwa ajili hiyo TU ..kokoto utaumia ..kwa dar jamaa Mmoja Yuko kibaha misugusugu anaitwa abuu ghafur anauza hizo pavement
 

Hiyo unasema ya mishipa ya miguu kuji connect na organs za mwili ni Reflexology...

Mimi nazungumzia kuji connect na nature. Sio tiba kama ilivyo hiyo reflexology.

Half baked knowledge ni disaster.

Ni bora kutokujua kuliko kujua mambo juu juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…