Inasemekana kwamba mwanamziki Brandy ni VAMPIRE!!

Vampire? ? ? Hapana naona hili neno limetumika vibayaView attachment 380583View attachment 380584vampire are blood suckers
Vampire was a myth na ilijengeka ikawa hadithi ya vizazi na vizazi kutokana na ukatili wa Prince Vlad Dracula wa Romania karne kadhaa zilizopita the real Vampires ni aina flani ya popo wadogo ambao ndio hasa blood suckers na kweli wanaishi kwa kunyonya damu za Wanyama ndio maana utakuta iwe ni hadithi au movies ziwe za Dracula au Vampires zina husisha Popo.
 
Noted with appreciations
 
Hela hiyo mkuu. We shika hela hapo uone, miez kadhaa tu ngozi itakuwa inateleza ka mtoto...
 

Umeeleza vizuri sana mkuu, ndo maana huwa napenda filamu za wazungu wanajaribu kuonesha uhalisia ingawa uongo
 
Sasa azeeki vipi wakati sura imemkomaaa kabisa ahahh hapo wamedanganya kwa huyo bibie labda huyo dully
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…